Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Unaweza kuolewa na mwanaume mwenye watoto tayar na ambaye hatak kuzaa tena.
Na maisha yakaenda vizur.

Weng wanakuwa wakubwa na washamaliza ujana.... umri unavyozidi kwenda ni muhimu ukawa na mwenza mmoja anaeeleweka na kuheshimika.

Alaf Watoto wa wadogo zako na watoto wa kaka/dada zako ni wako. Hivyo ww una watoto ila sio wa tumbo lako..
Watunze ili waje wakutunze ukiwa huna nguvu huko mbele.

Dah unazeeeka na Tako lako 😂😂😂😂

Na pia usikomae na maisha mwenyewe shemej.

Na mtegemee Mungu.
In God we Trust...

Ushaur wangu Shemej
Niko kwenye mahusiano.
Na halii hii unadhani kuna mtu hatanipenda?
 
Niko kwenye mahusiano.
Na halii hii unadhani kuna mtu hatanipenda?
Eeeh kuna Wanaume wanatafuta mwanamke kama ww.

Ww ni mwanamke adhimu.

Utofaut wako unakufanya uwe wa kipekee.

Kwahiyo One day Yes. Na utaolewa tena na maisha yatakuwa mazuri zaid ya wenye watoto wa kwenye ndoa.

Muamini Mungu wako. Na atatenda
 
Ok unaweza share kidg maumivu uliyosemea hapo juu?

Unaona watoto wetu wa kizazi hiki wakiwa kizazi chetu cha 2010's ?
Iko hv, kwanza niliingia ndoani na "mteja wangu"
Na baada ya kugundua kama sina uwezo wa kuzaa na kupata mtoto, aliunganisha dot na kupata jawabu kuwa huenda kazi yangu imesababisha kutolewa kizazi.
Manyanyaso na dharau zikaanza.
Na hatimaye nikaamua kwa hiari yangu kupokea talaka.

Kila nabii na zama zake.
Na sidhani kama zama husimama palepale.
Ni lazima zibadilike ili dunia na matendo yasonge mbele
 
Iko hv, kwanza niliingia ndoani na "mteja wangu"
Na baada ya kugundua kama sina uwezo wa kuzaa na kupata mtoto, aliunganisha dot na kupata jawabu kuwa huenda kazi yangu imesababisha kutolewa kizazi.
Manyanyaso na dharau zikaanza.
Na hatimaye nikaamua kwa hiari yangu kupokea talaka.

Kila nabii na zama zake.
Na sidhani kama zama husimama palepale.
Ni lazima zibadilike ili dunia na matendo yasonge mbele
Hugs dearest, kwa sasa uko wap? Na unajikita kwenye shughuli zipi ?

Matukio ya kuumizwa kihisia kwenye mahusiano na ndoa kwa wote wawili me na ke una nn la kutuambia?
 
Eeeh kuna Wanaume wanatafuta mwanamke kama ww.

Ww ni mwanamke adhimu.

Utofaut wako unakufanya uwe wa kipekee.

Kwahiyo One day Yes. Na utaolewa tena na maisha yatakuwa mazuri zaid ya wenye watoto wa kwenye ndoa.

Muamini Mungu wako. Na atatenda
Amina.
Nina amini katika dua zako.

Sijisifii ila mimi ni mmoja wa wanawake ambae najua umuhimu wa mwanaume.

Msafi, mkarimu, mwenye hofu ya Mungu, mwenye upendo ila ndio hivo kizuri hakikosi kasoro
 
Hugs dearest, kwa sasa uko wap? Na unajikita kwenye shughuli zipi ?

Matukio ya kuumizwa kihisia kwenye mahusiano na ndoa kwa wote wawili me na ke una nn la kutuambia?
Thanks
Kwa sasa niko jijini Dar Es Salaam na ninajishughulisha na biashara ya kutengeneza batiki Ubungo.

Mimi cha kuwaambia ni kuamua kutulia na kuaminiana.
Hakuna mkamilifu na madhaifu yanazungumzika.
Na pia tuache tabia ya usaliti
 
Thanks
Kwa sasa niko jijini Dar Es Salaam na ninajishughulisha na biashara ya kutengeneza batiki Ubungo.

Mimi cha kuwaambia ni kuamua kutulia na kuaminiana.
Hakuna mkamilifu na madhaifu yanazungumzika.
Na pia tuache tabia ya usaliti
Hiyo avatar inaweza kuakisi kile ambacho wanaume tunakiona hapo ?
 
Asante sana.

Unajua wakati mwingine tunaingia humu mitandaoni kujifariji tu ila nyuma ya keyboard tuna maumivu makali sana na huwa tunakufa kimya kimya.
Hakuna namna
Kwel kabisa mkuu, haya maisha yanatupaka kila aina ya matope sometimes, ila jambo la muhimu hakuna kugive up, never.

na hatutakiwi kusubiri kila kitu kiwe sawa ndo tuwe na furaha, hata ktk nyakat ngumu lazima tuwe na furaha.
 
Kwel kabisa mkuu, haya maisha yanatupaka kila aina ya matope sometimes, ila jambo la muhimu hakuna kugive up, never.

na hatutakiwi kusubiri kila kitu kiwe sawa ndo tuwe na furaha, hata ktk nyakat ngumu lazima tuwe na furaha.
Ndio.
Nyakati nilizopitia na ninazoendelea kupitia japo kidogo zimepungua, acha tu nifurahie wakati huu kwani nyakati hazirudi nyuma
 
  • "Ni mafanikio gani ambayo una fahari nayo zaidi na kwa nini?"
  • "Ni ushauri gani bora uliowahi kupokea?"
  • "Ni nani ambaye amekuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa katika maisha yako?"
  • "Ni kitu kipi kuhusu wewe kinachowashangaza watu?"
  • "Kama ungeweza kutatua tatizo moja katika ulimwengu, lingekuwa lipi?"
  • "Ni kitu kipi unachotamani ungeweza kuwa bora zaidi nacho?"
  • "Unashughulikiaje msongo wa mawazo au shinikizo?"
 
Back
Top Bottom