min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,436
- 127,742
Hoja ni kwamba wewe ni chawa na unadanganya wanyonge humu kuwa wewe ni mbunge wakati wewe ni mu Iraq tu wa karatu na hauna lolote.jikite kwenye hoja mropokaji itakusaidia sana kusonga mbele 🐒
Hoja ni kwamba wewe ni chawa na unadanganya wanyonge humu kuwa wewe ni mbunge wakati wewe ni mu Iraq tu wa karatu na hauna lolote.jikite kwenye hoja mropokaji itakusaidia sana kusonga mbele 🐒
Niko kwenye mahusiano.Unaweza kuolewa na mwanaume mwenye watoto tayar na ambaye hatak kuzaa tena.
Na maisha yakaenda vizur.
Weng wanakuwa wakubwa na washamaliza ujana.... umri unavyozidi kwenda ni muhimu ukawa na mwenza mmoja anaeeleweka na kuheshimika.
Alaf Watoto wa wadogo zako na watoto wa kaka/dada zako ni wako. Hivyo ww una watoto ila sio wa tumbo lako..
Watunze ili waje wakutunze ukiwa huna nguvu huko mbele.
Dah unazeeeka na Tako lako 😂😂😂😂
Na pia usikomae na maisha mwenyewe shemej.
Na mtegemee Mungu.
In God we Trust...
Ushaur wangu Shemej
Sawa , unaweza kutulia na mimi mlevi nisiye na peaa sasa?Nimekujibu.
Huenda swali lako liko nje ya uwezo wangu au si zuri.
Samahani
Eeeh kuna Wanaume wanatafuta mwanamke kama ww.Niko kwenye mahusiano.
Na halii hii unadhani kuna mtu hatanipenda?
Hapo nimekuelewa.Huyu niliyenaye anajua historia yangu.
Mimi ndio sihitaji ndoa
Iko hv, kwanza niliingia ndoani na "mteja wangu"Ok unaweza share kidg maumivu uliyosemea hapo juu?
Unaona watoto wetu wa kizazi hiki wakiwa kizazi chetu cha 2010's ?
Hugs dearest, kwa sasa uko wap? Na unajikita kwenye shughuli zipi ?Iko hv, kwanza niliingia ndoani na "mteja wangu"
Na baada ya kugundua kama sina uwezo wa kuzaa na kupata mtoto, aliunganisha dot na kupata jawabu kuwa huenda kazi yangu imesababisha kutolewa kizazi.
Manyanyaso na dharau zikaanza.
Na hatimaye nikaamua kwa hiari yangu kupokea talaka.
Kila nabii na zama zake.
Na sidhani kama zama husimama palepale.
Ni lazima zibadilike ili dunia na matendo yasonge mbele
Amina.Eeeh kuna Wanaume wanatafuta mwanamke kama ww.
Ww ni mwanamke adhimu.
Utofaut wako unakufanya uwe wa kipekee.
Kwahiyo One day Yes. Na utaolewa tena na maisha yatakuwa mazuri zaid ya wenye watoto wa kwenye ndoa.
Muamini Mungu wako. Na atatenda
ThanksHugs dearest, kwa sasa uko wap? Na unajikita kwenye shughuli zipi ?
Matukio ya kuumizwa kihisia kwenye mahusiano na ndoa kwa wote wawili me na ke una nn la kutuambia?
Kwamba tunaweza kuonana bila kua na sababu?Karibu sana ila uwe na sababu.
Hiyo avatar inaweza kuakisi kile ambacho wanaume tunakiona hapo ?Thanks
Kwa sasa niko jijini Dar Es Salaam na ninajishughulisha na biashara ya kutengeneza batiki Ubungo.
Mimi cha kuwaambia ni kuamua kutulia na kuaminiana.
Hakuna mkamilifu na madhaifu yanazungumzika.
Na pia tuache tabia ya usaliti
Kwel kabisa mkuu, haya maisha yanatupaka kila aina ya matope sometimes, ila jambo la muhimu hakuna kugive up, never.Asante sana.
Unajua wakati mwingine tunaingia humu mitandaoni kujifariji tu ila nyuma ya keyboard tuna maumivu makali sana na huwa tunakufa kimya kimya.
Hakuna namna
Ndio.Kwel kabisa mkuu, haya maisha yanatupaka kila aina ya matope sometimes, ila jambo la muhimu hakuna kugive up, never.
na hatutakiwi kusubiri kila kitu kiwe sawa ndo tuwe na furaha, hata ktk nyakat ngumu lazima tuwe na furaha.
Ungeanza kuonyesha mfano wa kusonga mbele kwa kuacha uchawa ewe chawa mweusijikite kwenye hoja mropokaji itakusaidia sana kusonga mbele 🐒
kubeba chuki binafsi moyoni kila mahali kila jukwaa unatembea nazo, si mzigo sana moyoni gentleman?🤣Ungeanza kuonyesha mfano wa kusonga mbele kwa kuacha uchawa ewe chawa mweusi
Ok nuu.. we ni mwenyej wa mkoa upi Tz?Kwa mavazi haiwezi kuakisi, ila kwa umbo may be na facial kidogo inarandana na avatar yangu