Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
Mbona umeniacha nazubaa mwenyewe PM? Acha masihara bana.
Nshakustukia, ngoja nisepe zangu. Hapa hamna changu.:crying:mbona sikuoni
una scrach bana!
yani anazd kujiaibisha. Huyu dada ana matatizo sana.
Simtambui raisi wa tanzania, kama mtu simtambui nitamkubalije? nampenda kama binadamu mwenzangu ila kama kiongozi simtambui
Kwa tanzania mpaka dakika hii sijaona mtu anayefaa kutufikisha pale ambapo tunatakiwa tufike...wote ni wachumia tumbo tu, hata wewe ukipata uongozi leo inawezekana ukawa kama baba rizi na kunufaisha familia na swahiba zako, heri hata mkoloni arudi kwa style tofauti na ile ya awali ya kututesaje, mapendekezo yako ni yapi? ni nani ambaye wewe unaona anafaa kuwa rais wako na umkubali?
Kwa tanzania mpaka dakika hii sijaona mtu anayefaa kutufikisha pale ambapo tunatakiwa tufike...
Mzee mimi ni wa thame/same, nilishajibu hili hapo awali
ahaaa! ndio maana basi, mawazo yako kidogo yako tenge!! na wewe wa Same unajiona wa kilimanjaro? akili yako bado fupi, ref: baadhi ya majibu yako hapo juu!!
Kama yangu fupi basi ya kwako ina mtindio, yani unataka watu wote tuwaze na kunena sawa?kweli wewe ni taahira na sijui humu ndani unafanya nini, nenda kojoa ulale
My Passion Lady huwa si kubaliani na ndoa za namna hii!
Ni mwanaume, tena rijali
We ndio mwenye matatizo, ulichek in uko tilapia mwanza wakati inaonyesha ulipost wakati uko somewhere near dar es salaam, ukaulizwa ukachuna na mmoja wa friends wako ukala jiwe....kaka be real na sio kufoji! ukininyooshea kidole jua vinne vinakuelekea kaka....gud nyt