mkuu mimi sio smartest kwasababu wako wengi pia walioko smart kuliko mimi.. na huenda wengine siwafaham!Mleta mada Fundisanifu uko vizuri sana. Ninatamani upate Ajira then ujikusanye upate mtaji ufungue laboratory yako. Yaani you are the smartest Lab Physician. Keep it up
Mkuu ukipata michongo tushtuane tupo wengimkuu mimi sio smartest kwasababu wako wengi pia walioko smart kuliko mimi.. na huenda wengine siwafaham!
umemalza mwaka gani kkaMkuu ukipata michongo tushtuane tupo wengi
Ma Lab technologist humu
2019 kakaumemalza mwaka gani kka
Pw kka soon utapata mi nko mwaka wa1 now2019 kaka
Wee piga shule kaka usikate tamaa mambo yatakuwa mazuriPw kka soon utapata mi nko mwaka wa1 now
Shikamooni wakuu.
Mimi ni muhanga wa tatizo la ajira, na pia kabla ya hilo ni mtaalamu(mteknolojia) wa maabara(Laboratory technician) mwenye diploma ambayo nimeipata kutoka BUGANDO mwaka 2018..
Pia, katika kukaa sana mtaani nimegundua kua nina muda mwingi sana, japo baadhi hua nautumia katika kutafuta kazi.
Nimetafakari sana na kujiona mimi ni mbinafsi maana kila siku natafuta ajira kwa manufaa yangu na familia yangu.. hivyo nimeamua kwa elimu hii niliyonayo niwanufaishe na wengineo, maana hakuna msaada mwingine nnaoweza kuutoa kwenu zaidi ya elimu yangu.
Sasa naomba kutumia fursa hii, kuwapa ruksa na kuwaomba mniulize chochote kuhusiana na maabara ya afya, ku-interpret vipimo ama kutoa ushauri wa juu ya kipimo gani ufanyiwe.
Kama umeona sehemu ukakasi naweza kukusaidia katika namna ambayo nitaweza, ama kama una mashaka na majibu uliyopewa sehemu pia naweza kukuelezea vizuri kadri niwezavyo kwani kwenye kazi hii nna uzoefu wa utendaji kazi kwa miaka 2..
NB: napokea michongo ya kazi pia kupitia 0786744401,
NIULIZE, NIKUSAIDIE.
Najaribu mkuu watakuja wenyewe kuweka Sawa ....Boss mm natka kujua comfimatory test za sickle cell ni zipi?
Kaka, Kama Kuna Group au Page huko nisaidie nitembelee pia maana Ni mteknolojia ila umetema madini haswaaa!!Najaribu mkuu watakuja wenyewe kuweka Sawa ....
1. High performance liquid chromatography (HPLC)- hii ni best sababu inafanya both identifying and quantification of different Hemoglobin types including Hemoglobin S inayohusiana na sickle cell pamoja na zingine HbA, HbA2, HbF etc
2. Hb electrophoresis- hii inafanya identification ya hemoglobin types Kwa kuzifanyia separation according to their charge (it shows just presence or absence only) haifanyi quantification kujua Aina flani ya hemoglobin ipo Kwa kiasi gani kwenye sample ya mgonjwa.
3. Isoelectric focusing -hii pia ni kama hiyo hapo juu nayo inaonesha uwepo Tu wa type mbali mbali za hemoglobin kwenye sampuli ya mginjwa.
ngoja nikakatie nyasi ng'ombe Kwanza nitarudi...
binafsi sina mkuu ila ngoja nimtag huyu kama anayo FundisanifuKaka, Kama Kuna Group au Page huko nisaidie nitembelee pia maana Ni mteknolojia ila umetema madini haswaaa!!
vipimo vifuatavyo hufanyika :-Swali langu Ni hili vidonda vya Tumbo vinaweza kupimwa kwa kipimo cha Kutolewa damu???
Samahani mkuu..vipimo vifuatavyo hufanyika :-
1. Kupima damu 'Blood test'
Kuangalia bakteria aina ya H.pylori na kama mgonjwa amekuwa akitumia antibayotiki au dawa za vidonda Proton Pump Inhibitors 'PPIs' mfano Omeprazole vipimo vyake vya damu vitaonyesha majibu hasi 'Negative'
2. Kupima pumzi 'Breath test'
Mgonjwa hupewa anywe maji yenye atomi za kaboni zinazoweza kuvunjika, hii hufanya bakteria H.pylori kuvunjika na baada ya lisaa mgonjwa hutoa pumzi kwenye chombo kilichofunikwa kama mgonjwa ameambukizwa sampuli ya pumzi itaonyesha vipande vya kaboni kwenye kabonidioksaidi.
3. Kupima antijeni kwenye kinyesi 'Stool antigen test'
Kipimo hiki huangalia kama kuna bakteria H.pylori kwenye kinyesi. Vilevule kipimo hiki hutumika kuangalia ufanisi wa matibabu yaliyotolewa dhidi ya bakteria.
4. X-ray ya sehemu ya juu ya tumbo 'Upper gastrointestinal x-ray'
Picha huonyesha umio 'Esophagus', mfuko wa tumbo 'Stomach' na Dudenum. Mgonjwa humeza maji yenye 'Barium' ambayo hufanya vidonda kuonekana kirahisi kwa x-ray.
Kamera ya tumbo 'Endoscopy'. Mrija mrefu wenye kamera huingia tumboni na daktari huona vidonda kwenye skrini ya kompyuta 'Monitor'.
Mwenye uzi atajazia zaidi.
Ni kipi ni cha uhakika kuliko vyote? Au vyote vina uhakika wa majibu?hua tunatumia
1. rapid test ambazo kuna SD bioline na Unigold.. Unigold ndio standard na best( confirmatory test).. kwenye pharmacy hua zinakuepo ila ni magendo.
2. Elisa,
3. PCR.. hiki ndo kinachopima na viral load pia.