Fundisanifu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 515
- 625
Shikamooni wakuu.
Mimi ni muhanga wa tatizo la ajira, na pia kabla ya hilo ni mtaalamu(mteknolojia) wa maabara(Laboratory technician) mwenye diploma ambayo nimeipata kutoka BUGANDO mwaka 2018..
Pia, katika kukaa sana mtaani nimegundua kua nina muda mwingi sana, japo baadhi hua nautumia katika kutafuta kazi.
Nimetafakari sana na kujiona mimi ni mbinafsi maana kila siku natafuta ajira kwa manufaa yangu na familia yangu.. hivyo nimeamua kwa elimu hii niliyonayo niwanufaishe na wengineo, maana hakuna msaada mwingine nnaoweza kuutoa kwenu zaidi ya elimu yangu.
Sasa naomba kutumia fursa hii, kuwapa ruksa na kuwaomba mniulize chochote kuhusiana na maabara ya afya, ku-interpret vipimo ama kutoa ushauri wa juu ya kipimo gani ufanyiwe.
Kama umeona sehemu ukakasi naweza kukusaidia katika namna ambayo nitaweza, ama kama una mashaka na majibu uliyopewa sehemu pia naweza kukuelezea vizuri kadri niwezavyo kwani kwenye kazi hii nna uzoefu wa utendaji kazi kwa miaka 2..
NB: napokea michongo ya kazi pia kupitia 0786744401,
NIULIZE, NIKUSAIDIE.
Mimi ni muhanga wa tatizo la ajira, na pia kabla ya hilo ni mtaalamu(mteknolojia) wa maabara(Laboratory technician) mwenye diploma ambayo nimeipata kutoka BUGANDO mwaka 2018..
Pia, katika kukaa sana mtaani nimegundua kua nina muda mwingi sana, japo baadhi hua nautumia katika kutafuta kazi.
Nimetafakari sana na kujiona mimi ni mbinafsi maana kila siku natafuta ajira kwa manufaa yangu na familia yangu.. hivyo nimeamua kwa elimu hii niliyonayo niwanufaishe na wengineo, maana hakuna msaada mwingine nnaoweza kuutoa kwenu zaidi ya elimu yangu.
Sasa naomba kutumia fursa hii, kuwapa ruksa na kuwaomba mniulize chochote kuhusiana na maabara ya afya, ku-interpret vipimo ama kutoa ushauri wa juu ya kipimo gani ufanyiwe.
Kama umeona sehemu ukakasi naweza kukusaidia katika namna ambayo nitaweza, ama kama una mashaka na majibu uliyopewa sehemu pia naweza kukuelezea vizuri kadri niwezavyo kwani kwenye kazi hii nna uzoefu wa utendaji kazi kwa miaka 2..
NB: napokea michongo ya kazi pia kupitia 0786744401,
NIULIZE, NIKUSAIDIE.