Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

kelphin

JF-Expert Member
Dec 24, 2019
9,010
14,292
Ikiwa inakusumbua,ikiwa unataka kufahamu chochote kinachokutatiza.

Karibu
images.jpg


Nieleze kidogo kuhusu subwoofer
Je, unataka kununua, basi zingatia haya.

Zipo za aina mbili old model na digital. Siyo majina hapana ,yaani inaweza kua rising,seapiano,codjec,aborder au vyovyote Ila itakua digital au old model.

Hizo digital ni Aina ya subwoofer ambayo inamuundo wakisasa ,mala nyingi utakuta Ina (nob) kivingilisho Cha sauti kimoja tu.

Ila kinafanya multipurpose, ukibonyeza hyo hiyo nob unaweza ongeza sauti ,kuongeza bass, na mid.
kifupi mambo yote ni in one button.

Faida yake ni kuwa, aina ya power supply yake Ni ilitaka ifanane na ya home theater(Ila haijawahi[emoji2inakua na umeme mnyoofu kidogo.

Zinakua na music mkubwa na mdundo zaidi ni digital,yaani yakisasa,
lakini pia display yake ni LCD haitumii umeme mwingi.

Je utaijuaje?
Nob ya kuongezea sauti ni moja tu na zaidi utakuta button za menu na input inategemeana). Ukiigeuza nyuma ina kiplastic kidogo kilichozungushwa nati, yaani ikiwa italeta shida fundi huku nyuma hafungui mfuniko wote wa nyuma, hufungua ki plastic tu hapo nyuma ndio kimebeba card zoote na subwoofer.

Hasara zake
  1. Ikitokea imeharibu card yake hauwez kubadilisha ,sababu ndani Ina circuit Kama ya phone mafundi weeengi hawana(hatuna) technology yakuitengeneza kwahyo unaenda dukani unanunua Tena kard na si chini ya 40000.
  2. Ila ukifika unaipachika tu huangaiki.
  3. Inahitaji utulie ili uioperate maana inatumia single nob.
  4. Speaker yake ya bass huwekwa ohms ndogo ili idunde sana kwahiyo usipende kuweka sauti kubwa Sana kwa muda mrefu.

Aina ya pili ndio zile old model
Hizo zinaitwa dunda udundavyo ni nzuri kwenye uzuri wake. Yenyewe ukiingalia utakuta Ina nob yaani vile vyakuongezea sauti zaidi ya kimoja. Yaani cha master volume, bass, tweeter na mic, na ukivizungusha vinafika mwisho.

Yenyewe ndani power supply yake ni ya kawaida, inatumia mtransformer wake na diodes za kawaida. kisha umeme huingia kwenye capacitor ndio unaanza kusambazwa ndani. Yaweza kuwa Seapiano, Codjec Aborder au vyovyote. Ukiigeuza nyuma mfuniko wote unafunguka wa nyuma.

Faida yake
  1. ikizingua unaiweza kuirekebisha kiurahisi tu
  2. Zinavumilia sana
  3. Hata muziki upo pia
  4. Rahisi kuitumia
Hasara zake
  1. Display yake ni VFD kama ni seapiano hapa mbele inakioo,inavyoimba Kuna vitu vinacheza cheza kwenye kioo(hii ni kwa baadhi ya subwoofer)
  2. Muonekano wake ni wakizamani ikilinganishwa na hizi mpya

Soma hi pia
Ndani ya subwoofer panya hupenda kuishi humo, huzaliana na kuleta hitilafu kwa kukata nyaya na kula speaker.
Waya wa speaker una chumvi chumvi hivyo akiingia hauachi.

Simple way jinsi ya kudhibiti
Pale kwenye tobo kuna ki corn cha duara huwa wanakipachika unaweza kukitoa kwa kufuata mpangilio ufuatao:

  1. Chukua maji ya moto kidogo na kitambaa, kichovye kitambaa kwenye maji kisha kikande kuzunguka mduara kwa dakika tano.
  2. Kisha chukua kisu, tumia ncha yake kuingiza pembezoni mwa mduara bila kuikwajua. Huku ukiinua kidogo kidogo kuzunguka corn nzima,ukisha kitoa kitoboe vitundu vidogo kukizunguka upande wa ndani(sio Huku uliko Kanda kwa maji).
  3. Ukisha kitoa chukua waya mgumu usuke upande wa ndani kuzunguka uwazi wa duara wote mule ulimotoboa, kisuke hakikisha unaacha vyumba vidogovidogo kiasi kwamba kinaweza kupita kidore kidogo tu.
  4. Paka gundi upande wa ndani, huku ulikokua unakanda na maji kisha kibandike tena kama kilivyokuwa.

NB: Hii ni kwazile subwoofer kama pichani hapo juu, ambazo hutolea upepo pembeni kwenye kiduara. Wale zinazotolea mbele chini ni habari nyingine.

***
Kiasi chake mtanielewaView attachment 1560194View attachment 1560195

Some updates,
Je, music system yako haina bluetooth na unataka kuongezea? Easy sana na inawezekana pia, kwa mafundi ninaweza kuwaelekeza.

Lakini pia music system yako ulipenda itoe mp5, yaani picture, video inawezekana pia.
Hususani wale wenye TV za kizamani yaani unachomeka flash disk yako kwenye subwoofer, unapata mdundo alafu kuna cable itatoka kwenye subwoofer hadi kwenye TV yako.

Stay here.
More good things are here.
Welcome.

View attachment 1921368
View attachment 1921369
 
Kaka wewe ni fundi? Kama ndio nkuambie ufanye nin
Tunataka kujua shida nin?
Operation amplifier,amplifier au sound operation yaan hizo nobs!

Hizo nob ni digital
Kuna ic ina control hiyo system
Haiwi kama hizi za kawaida

Je wew n fundi man?
Hebu muelekeze tuibie kaka. Pia hiz knob zinakua na tatizo la kimfumo. Ukiongeza kama kawaida (ile kasi ya kuzungusha knob) mara iende mbele mara irudi nyuma. Yani haupati ile volume unayoitaka kwa wakati. Zingine hutaka uzugushe taratibu mno. Shid ni nini
 
Nina home theater ya LG LHD657 ni mpya kabisa ila cha ajabu nime Connect baadhi ya speaker zile za kusimama hazipigi maana ziko nnje zinapiga mbili, mwanzo ilikuwa inapiga vizuri kabisa, je tatizo liko wapi?
 
Nina home theater ya LG LHD657 ni mpya kabisa ila cha ajabu nime Connect baadhi ya speaker zile za kusimama hazipigi maana ziko nnje zinapiga mbili, mwanzo ilikuwa inapiga vizuri kabisa, je tatizo liko wapi?
Naona kama ndo zilivyo Mim nilikuwa nayo home theater speaker mbili ndiyo zilikuwa zina piga lakini hukiwa mbali huwez kujua mpaka huzi sikilizie masikio ndiyo utajua Kati ya speaker tano sina cheza ni mbili
 
Yes man ingawa sina muda mrefu kwenye hii tasnia ila tangu nimeanza sijawahi kukutana na changamoto ya namna hii, bila shaka utakua umeelewa maelezo yangu ktk post no. 1378, tatizo linaweza kuwa nini amplifier au potentiometer?
N.B potentiometer sijaifungua bado.

Mkuu nadhan control ina shida....
Mala nyingi huo mfumo unaendeshwa na chip fulani ambayo inakua programed
Na hua hazipatikani
Ila kwakua hatuna uhakika
Nlitaka uzitafute signal zako afu upige mziki mojakwamoja ziaipite huko kwenye digital

Je naweza ona circuit ya hiyo subwoofer pia?
Kwakuona pengine naweza jua signals zipo wap ili tu test pamoja
 
Hebu muelekeze tuibie kaka. Pia hiz knob zinakua na tatizo la kimfumo. Ukiongeza kama kawaida (ile kasi ya kuzungusha knob) mara iende mbele mara irudi nyuma. Yani haupati ile volume unayoitaka kwa wakati. Zingine hutaka uzugushe taratibu mno. Shid ni nini

Shortly n kua huo mfumo wa digital ukianza kuzingua basi n shida tu...bora zile zakawaida sometimes
Il hizi digital ni mawenge
Je unajua jinsi ya kuzibadili kutoka digital kwenda analogue?

Nkupe maelekezo kidogo
Kwenye subwoofer nyingi kuna ic inaitwa PT2313 kazi ya hi ni kuselect inpt
I mean input zako zote zitaingia hapo
Za aux
Za mp3
Za fm
Za Bluetooth
IMG_6327.jpg

IMG_6326.jpg



Afu huku mbele kunakua na button either kwenye nob au pemben
Inaitwa inpt button
Yaan ukibonyeza hiv inaenda Bluetooth ukibonya tena inaenda fm NK
Kwahyo ikiwa unataka kutoa hu mfumo wa digital
Unakata njia za umeme unaoenda kwenye hiyo ic au uitoe kabisa
Ukitoa tu palepale kwenye ic utapata signal 3 i mean
L
R
Na bass
Kwahyo utaweka MP3 player yako yenye Bluetooth
Kama hi pichan
IMG_6328.jpg

Signal zinazotoka hap ndio ziNaenda hapo ulipoitoa hi pt
[mention]That Gentleman [/mention] [mention]Zabron Hamis [/mention] [mention]Extrovert [/mention] [mention]Smart Guy [/mention] [mention]Mapank [/mention]
[mention]mkulungu mkuyengo [/mention]
 
Shortly n kua huo mfumo wa digital ukianza kuzingua basi n shida tu...bora zile zakawaida sometimes
Il hizi digital ni mawenge
Je unajua jinsi ya kuzibadili kutoka digital kwenda analogue?

Nkupe maelekezo kidogo
Kwenye subwoofer nyingi kuna ic inaitwa PT2313 kazi ya hi ni kuselect inpt
I mean input zako zote zitaingia hapo
Za aux
Za mp3
Za fm
Za Bluetooth View attachment 2081091
View attachment 2081092


Afu huku mbele kunakua na button either kwenye nob au pemben
Inaitwa inpt button
Yaan ukibonyeza hiv inaenda Bluetooth ukibonya tena inaenda fm NK
Kwahyo ikiwa unataka kutoa hu mfumo wa digital
Unakata njia za umeme unaoenda kwenye hiyo ic au uitoe kabisa
Ukitoa tu palepale kwenye ic utapata signal 3 i mean
L
R
Na bass
Kwahyo utaweka MP3 player yako yenye Bluetooth
Kama hi pichanView attachment 2081094
Signal zinazotoka hap ndio ziNaenda hapo ulipoitoa hi pt
[mention]That Gentleman [/mention] [mention]Zabron Hamis [/mention] [mention]Extrovert [/mention] [mention]Smart Guy [/mention] [mention]Mapank [/mention]
[mention]mkulungu mkuyengo [/mention]
Zipi faida na hasara za kubdili kutoka digital kwemda analog. Na zipi faida zake
 
nadhan control ina shida....
Mala nyingi huo mfumo unaendeshwa na chip fulani ambayo inakua programed
Na hua hazipatikani
Ila kwakua hatuna uhakika
Nlitaka uzitafute signal zako afu upige mziki mojakwamoja ziaipite huko kwenye digital

Je naweza ona circuit ya hiyo subwoofer pia?
Kwakuona pengine naweza jua signals zipo wap ili tu test pamoja
Shukrani sana, kwakua nipo nayo mbali ( nimesafiri) nikirudi nitapost picha ya circuits zake.
 
Mkuu na kwenye speaker ohm 2 na 4 huwa kuna utofaut gani maana unaweza kuta kuna speaker kwenye subwoofer in 2ohms na nyinginr ni 4. Ni 2hms ni nzur kuliko 4 ama 4 ndo better kuliko 2

Vyote ni bora kutokana na mazingira ambapo ipo!
Engineers wanapo design hizi ic au transistor hua wana guide na ohms za kutumia kwenye amplifier yake
Ndio maana nyingine zinataka 4ohms zingine 2 pia sawa
Sas sehemu yakuweka 8ohms wewe ukiweka 2 ohms inakuaje unadhan? Definitely amp itaungua tu

Je unajua nini kinaamua ohms ya speaker?
 
Vyote ni bora kutokana na mazingira ambapo ipo!
Engineers wanapo design hizi ic au transistor hua wana guide na ohms za kutumia kwenye amplifier yake
Ndio maana nyingine zinataka 4ohms zingine 2 pia sawa
Sas sehemu yakuweka 8ohms wewe ukiweka 2 ohms inakuaje unadhan? Definitely amp itaungua tu

Je unajua nini kinaamua ohms ya speaker?
Hapana mkuu ndo unipe darasa kidogo
 
Back
Top Bottom