Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
Kuna original na genuine...ni Original mkuu
Hata za kichina huwa na original kutokana na standard zao..
Genuine ni kama iliyotoka na gari....hakuna tofauti na inafanana mpaka part number na sometimes inasoma mpaka chasis number..
Part kuandikwa tu Toyota au Nissan haitoshi kuifanya iwe genuine bali yaweza kuwa original huko ilipitengenezwa..