Huwa anatakiwa kulipa deni angalau asilimia 25% then anatuma maombi ya mkopo tena, kama ana sifa atapata kama kawaida. na huwa wanatumia sheria za mwaka ulioomba mkopo kwa mara ya kwanza.Na kama mtu aliacha cho bila kutoa taarifa je?
Naye utaratibu ni huu?
Maake kuna kijana hapa mtaani aliacha kwa sababu ya ki financial
Nimekusamehe 🙏
Samahani mkuu, ulikuwa ni utani tu
UnawezaNilitaka kuapply chuo fulani, nikaanza kujisajili sasa nikapata changamoto siku 4 nikashindwa kulipa application fee
Je , itakuwaje ?
Siwezi apply tena ? Hata chuo kingine ?
Shukrani mkuu
HahahahaKwanini bodi ya mkopo pale Deni linapobakia dogo kuliko lile la awali wao wanaendelea kukata deni la awali, mfano kila mwezi walikuwa wanakata 200,000, mwishoni imebaki 60,000, wao badala ya kukata 60,000, wanakata 200,000 eti uandike barua ya kuwadai
Naona Wataalamu wa bodi ya elimu ya juu, wao Wana elimu ya chini, wanazidiwa na Wataalamu wa saccos
Mimi wameni kata miezi mitano lakini wamenilipa hela ya miezi minne tu. Sjui niwafuate huko huko maana inakuwa kero.Kwanini bodi ya mkopo pale Deni linapobakia dogo kuliko lile la awali wao wanaendelea kukata deni la awali, mfano kila mwezi walikuwa wanakata 200,000, mwishoni imebaki 60,000, wao badala ya kukata 60,000, wanakata 200,000 eti uandike barua ya kuwadai
Mkopo unawekwa pending, baada ya Ku-resume Unaendelea kupokea kama kawaidaNaomba kuuliza.
Mtu akighairisha masomo(kupostpone) mwaka wa pili baada ya kupata boom la mwisho! Anaweza kupata mkopo anaporudi mwaka wa tatu??
Sababu za kupostpone ni matatizo ya uchumi.
Barua amepeleka kwa loan officer amekubali
Hapo unaweza kuomba Bachelor Degree, bila wasiwasi hasa UDOMNina matokeo ya DDD ya Advance ya mtahiniwa binafdi 2014 je yananipeleka wapi
Pitia guidebook ya TCU kwa diplomaHivi mtu aliesoma diploma ya utawala anaweza soma computer science degree
Sent using Jamii Forums mobile app
Verification namba ya birth certificate unapata baada ya muda ganihabari wana Jf karibu uulize chochote kuhusu mwaka wa kwanza watarajiwa songea uulize jambo lolote linalohusu bodi ya mkopo , kujiunga chuo chochote. sana sana
SUA.
UDSM
MZUMBE
UDOM
IFM
TIA
CBE
TIA
NIT
Usaili unafanyika baada ya deadline so uwai uchelewe wote sawa ni system ndio inachagua kwa pamoja mara mojaHivi anayeapply mwanzo wa deadline na mwisho wa deadline wote wana nafasi sawa??kama wanafanana vyeti
Mkuu ulishalipatia majibu hili?Verification namba ya birth certificate unapata baada ya muda gani