Niulize chochote kuhusu eneo la Kimara!

Niulize chochote kuhusu eneo la Kimara!

Kimara mwanaume akishapata pesa tu hasa akina mangi ni lazima arest in pisi. Why?
 
Alianzisha mmoja niulize chochote kuhusu Mkoa wa singida, nakumbuka aliitendea haki thread kuhusu mkoa huo wa singida alijibu maswali vizuri na kwa ufasaha, sasa naona watu wanaibuka tu na niulize chochote, mwisho watatuambia tuwaulize chochote kuhusu wake zao

im innocent until proven guilty.
 
Bar gani hapo kimara wanauza bia 2200 naona kwa mushi ni 2500. resort 2500 matungucha 2500 latemba 2500 waqt bei halani ni 2200?
 
Bar gani hapo kimara wanauza bia 2200 naona kwa mushi ni 2500. resort 2500 matungucha 2500 latemba 2500 waqt bei halani ni 2200?

kimara inachukuliwa ya watu wenye hela,nadhani hakuna sehemu yenye bei chini ya hapo,hiyo ndio kimara,labda kwenye grocery unaweza,bei chini ya hapo.
 
Mkuu nasikia kimara ndio ngome kongwe ya wachaga hapo daslam,ni kweli?
 
Mkuu nasikia kimara ndio ngome kongwe ya wachaga hapo daslam,ni kweli?

ndio inawezekana,sababu kuanzia kimara bonyokwa,king'ongo,mbezi,temboni,stop over wamejaa,hilo nalo linawezekana.
 
Kwanini huko kimara kuna ujambazi sana?

Kimara ujambazi ulikuwepo baada ya jk kuingia madarakani 2005,cjajua ilikuwa ni conspiracy or what,sasa hv kimara ujambaz sawa na 0% labda revenge of bussinesman.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom