bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,072
Kesho ninakutana na jamaa yangu mmoja mchagga huko Kimara. una recomend tukae bar gani isiyo kua na wahuni au vyangudoa ?
nackia kulikuwa na kilima kupita michungwani kiitwacho king'ongo,ila ntamuuliza mzee wangu nipate majibu zaidi.
Alianzisha mmoja niulize chochote kuhusu Mkoa wa singida, nakumbuka aliitendea haki thread kuhusu mkoa huo wa singida alijibu maswali vizuri na kwa ufasaha, sasa naona watu wanaibuka tu na niulize chochote, mwisho watatuambia tuwaulize chochote kuhusu wake zao
Ni aina flani ya ushamba wa kuigana. Kila mtu niulize... niulize.., nyie Google??
zina faida sana hizi nyuzi,zinatupa information za kutosha sana.nasubiri kuhusu mbeya.
Mimi naomba uniruhusu nikuulize chochote kuhusu mume au boyfriend wakoAlianzisha mmoja niulize chochote kuhusu Mkoa wa singida, nakumbuka aliitendea haki thread kuhusu mkoa huo wa singida alijibu maswali vizuri na kwa ufasaha, sasa naona watu wanaibuka tu na niulize chochote, mwisho watatuambia tuwaulize chochote kuhusu wake zao
unatumia kipimo gani kututhibitishia hili?Ujambazi kimara umepungua kwa asilimia kubwa.
Na yule wa LINDI usimsahau alijibu maswali vizuri sana akishirikiana na wakuu wengine.Alianzisha mmoja niulize chochote kuhusu Mkoa wa singida, nakumbuka aliitendea haki thread kuhusu mkoa huo wa singida alijibu maswali vizuri na kwa ufasaha, sasa naona watu wanaibuka tu na niulize chochote, mwisho watatuambia tuwaulize chochote kuhusu wake zao