Ada unaruhusiwa kulipa kwa awamu mbili so inategemea na mkopo umepewa kiasi gani kwa hiyo loarn board wakishatoa unatakiwa uchukue kile kiwango unacho jilipia divide by two, na kama haulipiwi na loan board ada unatakiwa ulipe laki 5 for first semester, then second semester laki 5 nyinginr mana ada ya mwaka ni milion moja.
Kuna direct cost ambayo ni Tshs 77400 katika hiyo unakua umelipia bima ya afya, kitambulisho na hela ya DARUSO.
kama umepangiwa hostel za chuo ni sh 110000 kama unaishi hostel za ndani ya chuo, au 75000 kama unaishi hostel za mbagala au mabibo.
KARIBU