vevenononombo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,289
- 421
Hivi we unajielewa kweli? Okey ngoja nkuulize kazi ya Daruso ni nini?...hako ka boom unakokapata unajua historia yake? Au unadhani serikali ilikurupuka tu mambo yakawa hvo, watu walipoteza chuo lakini wakitetea maslahi yako, katafute chanzo cha mgomo wa udsm 2011 ukishakijua ndio utajua majukumu ya kiongozi wako...NADHANI NA WEWE NI MMOJA WA VIONGOZI MLIOTUKIMBIA WAKATI WA MGOMO PALE CHUO, POOR YOU.
Ni chuo changu but kipo kushoto xana, unaweza kuja ukaondoka bila hata kujua posta...ushamba mwingi, uongozi wa kupupet kushobokea admn, dean of student ndio majanga anajifanya kuwa na power zaidi ya Mukandara...mliochagua njooni but lazima mjue hayo.[/QUOT mmmhhh acha uongo
Nipinge kwa hoja...kama kuna uongo hapo pinga.
naomba kuulza nmeckia kuna kulipia bima, hiyo bima ni ya nini? nawasilisha kwn wakuu
Matukio.yakutisha duce
1.Mwanafunzi kumuua mpenzi wake kisa wivu wa mapenzi(masambaz principle)
2.Kijana kufa kwa sababu ya kukuta mpenzi wake anamtu mwingine(kijana wa moro)
3.Matukio ya baadhi ya malecture kuwalazimisha watoto WA kike kutoka nap kimapenzi
4.Daruso kuwa mfukoni mwa dean
5......
Mgomo.wa 2011 ?poor kijana historia inaanzia 2005,2006,2007 hiyo miaka ilikuwa na majembe kweli kweli Wapi burton.gwakisa maskin si shujaa tena sijui kashamaliza? Maana first degree kaisoma miaka 8 teh teh
Moira ndio kwao hapo na hivi ni pua na mdomo.na uwanja WA taifa ni wewe tu na roho yakoVp kuhusu michezo haswa kwa mpira wa miguu he vipaji vyetu vitakua au ndo tunakuja kuvizika kabisa?
ahsante, Kwann gharama za kuishi hostel za ndani ni Juu <110000, kulko za mbagala& mabibo<75000? naomba kufaham
Mkuu naomba kuuliza iyo bima ya afya naweza kumkatia mtu mwingine wa karibu yangu km vile ndugu
nauliza hivi eti wale wadada wanaojiuzaga boom likiisha huwa wanapatikana maeneo gani hapo chuo?Wakuu salam.
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeshatoa first batch kwa undergraduate so nina amini kuna watu wamechaguliwa Dar es Salaam University College of Education (DUCE), mimi ni mwanachuo wa hapa hivyo naweza kukupa some hints kuhusu chuo hiki katika nyanja zote za kitaaluma na kijamii.
KARIBUNI SANA KWA MASWALI NA UFAFANUZI KUHUSU DUCE
nauliza hivi eti wale wadada wanaojiuzaga boom likiisha huwa wanapatikana maeneo gani hapo chuo?