Niulize chochote kuhusu DUCE


sory kama hili swali lmeshaulizwa tena.....eti kwa first year hostel wanapata wote?? au kuna wengine huwa wanakosa?
 
samahan iv joining instruction inapatkana kwenye website gan?
 

tarehe ya kureport kwa bachelor of science with education kaka msaada,ikiwezekana nitumie kwenye namba hii 0675893587,0762015905
 
Daah. Bonge la chuo. I'm proud to be Duce. Happy 10th anniversary
 
Last edited by a moderator:
Natafuta wakukaa nae keko juu karibu na chuo chumba kipo na kina kila kitu ye atakua n kulala na kula na kusoma tu garama za chumba na umeme tutachangiana
 
Kuna tatizo vyuoni walimu kuwa na uhusiano wa kimapenzi, hasa wadada wazuri na hata kuvunja ndoa. Vipi hapo naweza mleta mchumba wangu akatoka salama?

Watu wa Bukoba mna wivu sana.
We mlete tu lkn mfunge gavana kabisa.
 
Hapo duce kuna diploma in education? Na km ipo application yako ikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…