Nitumie software ipi kutengeneza webpage?

rosmarie dreamwever sio complicated unachotakiwa ku kutafuta video traniing yake kwanza. Kama una bandwidth ya kutosha downlod hii kitu.Ndani yake nadhani kuna exercise file ambayo ukifuatisha hatua kwa hatua huku na wewe unajaribu basi utakuwa umekuwa begginer mzuri wa Web development na hapo hapo mtaalam wa kutumia dream wever. Hii ni video ya intro Pakua training video nzima kwa bei chee hapa Creating a First Website With Dreamweaver CS5 - Lynda.com (download torrent) - TPB teh teh tehkujua contents za hiyo video zina nini cheki hapa Dreamweaver Tutorials | Creating a First Web Site with Dreamweaver CS4 ( Hata kama unatumia dreamwever CS5 tofauti si kubwa )Good luck
good job.
 
Last edited by a moderator:
dah ile bei ya dream weaver imentisha wote mwatumia ile ile trial version au kuna wenye uwezo wa kuichakachua? Je kama ntaidownload ile trial then ikaisha niki un install halafu nkaistall upya yakubali??

Mi natumia netfussion essential je imezidiwa vitu vingapi na dreamweaver?? Msaada pls
 
dah ile bei ya dream weaver imentisha wote mwatumia ile ile trial version au kuna wenye uwezo wa kuichakachua? Je kama ntaidownload ile trial then ikaisha niki un install halafu nkaistall upya yakubali??

Mi natumia netfussion essential je imezidiwa vitu vingapi na dreamweaver?? Msaada pls
Tafuta kwenye torrents zipo zilizofanyia usanii (Chakachuliwa).
Gonga hapa: Dreamweaver-torrent
 
Tatizo la sisi wabongo ndio hilo. Muache Kaa la Moto aendelee ku post madesa kama yatasaidia.
Na wewe endelea kuishi kwenye ulimwengu wa kukutana na mwalimu kila siku tuone kama utavuna kitu. Wengine shule yetu iko hapa hapa online na ninaweza kuitumia vizuri tu hiyo dreamweaver. Msiwadanganye watu bana, ninachoweza kusema ni kuwa pia inategemea na kichwa ya mtu. Wengine sie shuleni mwalimu alifundisha mara moja kesho yake alitukuta kwenye topic inayofuata tumeshamaliza tunafanya marudio!
 
Na wewe endelea kuishi kwenye ulimwengu wa kukutana na mwalimu kila siku tuone kama utavuna kitu. Wengine shule yetu iko hapa hapa online na ninaweza kuitumia vizuri tu hiyo dreamweaver. Msiwadanganye watu bana, ninachoweza kusema ni kuwa pia inategemea na kichwa ya mtu. Wengine sie shuleni mwalimu alifundisha mara moja kesho yake alitukuta kwenye topic inayofuata tumeshamaliza tunafanya marudio!


Ttaizo sii waafrika na watanzania tunapenda sana formal education. Ndio maaaana ukauta watu tunahangaika na degree, Dr na phd. Angalia yule kijana alliyekuwa ana hack FBI just 18.

Jiulize
  • kajifunzia darasa gani au ni mwalimu gani kamfundisha ?
  • Watanzania wangapi ambo pamaja na formal education na qualification tulizaonazo tunaweza kufanya kama hujo kijana ?
mambo ya teknolojia sio kama lugha au sheria. Unless hujui kabisa hapo sawa lakini kama unajua AB basi kuendelea na CDE F mpaka z unaweza kutumia mtandao kama una nia muda.

Kama unataka kujua kitu kwa ajil ya kutafuta kazi hapo inabidi uende formal class lakini kama unataka kupata elimu kwa manufaa binafsi na biashara yako mwenyewe internet ni jibu
 
Ttaizo sii waafrika na watanzania tunapenda sana formal education. Ndio maaaana ukauta watu tunahangaika na degree, Dr na phd. Angalia yule kijana alliyekuwa ana hack FBI just 18.

Jiulize
  • kajifunzia darasa gani au ni mwalimu gani kamfundisha ?
  • Watanzania wangapi ambo pamaja na formal education na qualification tulizaonazo tunaweza kufanya kama hujo kijana ?
mambo ya teknolojia sio kama lugha au sheria. Unless hujui kabisa hapo sawa lakini kama unajua AB basi kuendelea na CDE F mpaka z unaweza kutumia mtandao kama una nia muda.

Kama unataka kujua kitu kwa ajil ya kutafuta kazi hapo inabidi uende formal class lakini kama unataka kupata elimu kwa manufaa binafsi na biashara yako mwenyewe internet ni jibu

Sio ndio hapo. Walimu wenyewe wanatumia wikipedia kufundishia halafu wanawapiga marufuku wanafunzi kuitumia.
 
Mimi namshauri muuliza suali aende shule kama atakua hawezi kufuata "internet tutorials" kwani Adobe Dreamweaver ni IDE ya kiume na imeunganisha technology nyingi za web developments so hata akifuata hiyo video, atajikuta bado kuna mambo atataka kufanya bila kuwa na ushauri au uwezo nayo-myself am dreamweaver teacher but si shauri kitu kama hiki kuweza kukisoma kwa minotisi tu ya online-it need clear and live discussion between teacher and student.

Mkuu nakubali a live discussion between a teacher and a student, lakini wakali wengi kwenye haya mambo ya IT hawakwenda darasani. Ni ma utundu yao, yamewafanya wawe hapa walipo. IT bila utundu, sindhani kama utafanikiwa. Darasa litasadia tuu kujua theoretical backgrounds na basis za applications, but how you gonna apply it in practice ni utundu wako. Mie nilianza kujifunza Coldfusion kwa kutumia manuals za Dreamweaver na internet tutorials.

Halafu kwenda shule ina include hata internet tutorials, unless una limit shule kwenye majengo yaliyotengenezwa kwa asjili ya kufundishia. Shule ipo popote hata hapa JF. Hii ina maana pia kuwa walimu hawapatikani kwenye majengo ya madarasa tuu.
 
kama unataka kuwa professional on web designing...unatakiwa ujue kuchapa code , u can use notepad ++ or programmers notepad
first u huv to know html,then css(cascading style sheet) ,then java script,and lastly php with xml....
 
Mkuu nakubali a live discussion between a teacher and a student, lakini wakali wengi kwenye haya mambo ya IT hawakwenda darasani. Ni ma utundu yao, yamewafanya wawe hapa walipo. IT bila utundu, sindhani kama utafanikiwa. Darasa litasadia tuu kujua theoretical backgrounds na basis za applications, but how you gonna apply it in practice ni utundu wako. Mie nilianza kujifunza Coldfusion kwa kutumia manuals za Dreamweaver na internet tutorials.

Halafu kwenda shule ina include hata internet tutorials, unless una limit shule kwenye majengo yaliyotengenezwa kwa asjili ya kufundishia. Shule ipo popote hata hapa JF. Hii ina maana pia kuwa walimu hawapatikani kwenye majengo ya madarasa tuu.

Sidhani kama internet ni taecher wa kutosha, Tanzania ingelikua na shule hata moja ya technology-ukweli utabakia pale pale kua "internet" ni reference na wala sio mwalimu kama wengi tunavyodhani-kusoma katika NET kana faida na hasara zake ila faida zake zajazidi za mwalimu alie "live" na kuhusu kupata note toka "wikipedia" sidhani kama ni tatizo coz mbona shuleni tunagawanyiwa vitabu but still unasubiri teacher aje na kitabu kama kile ili asomeshe?--Am also a IT Expert at coding and designing but not more than 45% imeipata mtandaoni kama ni reference.GOOOdLucky
 
@rosemarie.
Mimi ni web developer na swali lako nilijiuliza hapo zamani nilipokuwa naanza kudesign sites. Kwa kweli the best option ni kujifunza kuchapa code wewe mwenyewe maana kwa kufanya hivyo kutakufanya ujue zaidi programming kuliko kufanyiwa na software.

Dreamweaver ilitengenezwa ili kuwasaidia programmers/coders kumeet deadline za project zao bila kupasua kicha kuhusu minor errors za coding.

So i advice you to read the following site category ya html A to Z.

Free online tutorials, Tips, Tricks, email, resources, graphics, designing, web promotion, Web page design at WebDevelopersNotes.com

Ili uwe designer mzuri itakubidi ujifunze yafuatayo.
  1. XHTML
  2. CSS
  3. Photoshop/Fireworks - kwa ajili ya kutengeneza good web interface
  4. jQuery/Javascript
All the best
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom