Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

Joined
Jun 30, 2015
Posts
38
Reaction score
14
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Arusha.Kiukweli nimekuwa naboreka sana na kitendo cha kutoridhika na kutosheka kimapenzi.Kwa kawaida ninapokuwa faragha na mpenzi wangu huwa namchapa magoli sita mpaka nane lakini kila tukimaliza huwa bado najisikia kuendelea na tendo tena.

Mara kadhaa nimekuwa nikienda mrina kununua wadada wanaojiuza lakini bado kiu yangu haikati!

SUALA LINANIPA WAKATI MGUMU SANA..NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUWA KAWAIDA TU?

USHAURI WAKO NI WA MUHIMU
 
Dah, kwanza una umri gani?? Maana nahisi huenda una matatizo. 6-8 ni kukomoa au? Huna shughuli nyingine ya maana ya kukuingizia kipato? Yaani wewe maisha ni ngono tu!!
 
Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Arusha.Kiukweli nimekuwa naboreka sana na kitendo cha kutoridhika na kutosheka kimapenzi.Kwa kawaida ninapokuwa faragha na mpenzi wangu huwa namchapa magoli sita mpaka nane lakini kila tukimaliza huwa bado najisikia kuendelea na tendo tena.Mara kadhaa nimekuwa nikienda mrina kununua wadada wanaojiuza lakini bado kiu yangu haikati!!SUALA LINANIPA WAKATI MGUMU SANA....NIFANYE NINI ILI NIWEZE KUWA KAWAIDA TU...,??USHAURI WAKO NI WA MUHIMU

kukojoa kote huko bado huridhiki? kwani nini maana ya kuridhika?
 
hivi hayo magoli sita mpaka nane huwa unakojoa kama kuku au ?


halafu nani kakuambia kukojoa magoli mengi ndio kuridhika? hivi unajua wanaume pia kunautamu zaidi ya kukojoa?

kukojoa kwingi siyo kuridhika....na ujiulize je huyo unayemkojolea anaridhika?
 
ha haha wingi wa magoli

Hahahahah...

Magoli mengi heshima, lakini sio kila baada ya dk tano..

Unapiga goli 6-8 na bado huridhiki ina maana unatumia muda mchache.. Hizo goli sita utakuta zinapigwa ndani ya muda ambao Mimi natumia kupiga goli mbili.

Ama kweli Raha ya Mechi Bao..
 
Hahahahah...

Magoli mengi heshima, lakini sio kila baada ya dk tano..

Unapiga goli 6-8 na bado huridhiki ina maana unatumia muda mchache.. Hizo goli sita utakuta zinapigwa ndani ya muda ambao Mimi natumia kupiga goli mbili.

Ama kweli Raha ya Mechi Bao..
bao kuntu lakini si kama la kuku ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom