But watch out....sometimes cheapest things are most expensive at the end....Naomba mnisaidie basi gani saizi lipo kwenye "form" nisafirie kwenda mbeya,pia iambatane na gharama ya nauli yake.........ikiwezekana na "the cheapest" nilijue
nawasilisha!!
Kamata Ndenjela mkuu
mkuu ungefika ubungo jioni wakati mabasi hayo yanawasili utapata jibu lako.humu utaambiwa upande kwacha ama zainabs na kiswele
au Masia Coach...hahahahaanaweza kuambiwa pia apande "matema beach sleeping coach"
mkuu wewe ni ndugu yangu eeeh ITAKUWA NAKUFAHAMU SANA TUUU KHAAAA!Kamata hilo basi uliloambiwa na mdau hapo juu, Ndenjela, ni jipya, comfortable na mwendo wa heshima sana, la mjasiriamali wa Kisafwa. Tupende Uzalendo.