Unadhani ukifungua biashara kimya kimya bila mkeo utakuwa umepata suluhu ya kudumu?Yaani Sina hamu nae tena.
Sijui tatizo nn mara nyingi mwanaume ukiwa mstaarabu mwanamke.kichomi hivohivo mwanamke makini anaangukia pabaya kunawanawake humu wameolewa na wanaume wahovyo akisoma uzi huu anaishia kusonya tu ushauli wangu mtu wahivi hafai utafanyaje biashara kwasiri kama unauza bange kwanza watu kama hawa mda wote nikukuibia apeleke kwao angalia kama unaweza kukaa mbali nayy.kwaonyo mrudishe kwao utateseka sana najua yako mengi kati yahaya machache umetwambia pole nduguHuwezi kufanya biashara ya namna hiyo bila mke kujua. Kuna leo na kesho, Leo upo kesho yako haijulikani. Mkalishe chini umuelekeze hasara ya anachokifanya. Kwamba yeye akipata huduma mbovu dukani huwa anarudi tens duka lile?
Tena mwambie tabia yake ya mdomo sio tu inakimbiza wateja. Hata wewe utakimbia uende kwenye customer care murua.
Tatizo ni wewe. Hujasimama kama baba badala ufanye marekebisho unawaza kufungua biashara kwa siri
Huyo sio mke bali ni tarumbetaWakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.
Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi.
Yeye ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye ni mtu wa makelele tu.
Sex ya manati, na huwa siinjoy-inabid kuvuta hisia ya mwanamke mwingine - imagination- ili nikojoe fasta nikafanye shughuli nyingine, kiufupi naishi KINAFIKI tu Bora liende. hafikirii kuna savings kwa ajili ya future (yeye ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save, tujenge yeye hana habari, excuse kibao.
Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.
Mke ni KICHOMI
Alikuvutia nini mpaka ukamwoa?Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.
Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi.
Yeye ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye ni mtu wa makelele tu.
Sex ya manati, na huwa siinjoy-inabid kuvuta hisia ya mwanamke mwingine - imagination- ili nikojoe fasta nikafanye shughuli nyingine, kiufupi naishi KINAFIKI tu Bora liende. hafikirii kuna savings kwa ajili ya future (yeye ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save, tujenge yeye hana habari, excuse kibao.
Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.
Mke ni KICHOMI
Haujawahi kukutana na na wanawake pasua kichwa ww kenge.Jamaa katoa bonge la point basi tu na wewe ni giza.
Kampuni means nibtaasisi inayojiendesha si lazima mwenye kampuni kuwepo.
Kuna meneja na wafanyakazi hovyo mke hana nafasi pale
Talaka na ndoa ni kama samaki na maji. Yasipo mchemsha, atakutana nayo tumboni.Ukioa utakuja kufuta hii comment
Umejiona mjaanja kuita kenge....Haujawahi kukutana na na wanawake pasua kichwa ww kenge.
safi sanaNawaza kutafuta mchepuko ( mdada wa umri wa wastani) hata Kama ana mtoto nitalea.
Nawaza kutafuta mchepuko ( mdada wa umri wa wastani) hata Kama ana mtoto nitalea.
Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.
Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi.
Yeye ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye ni mtu wa makelele tu.
Sex ya manati, na huwa siinjoy-inabid kuvuta hisia ya mwanamke mwingine - imagination- ili nikojoe fasta nikafanye shughuli nyingine, kiufupi naishi KINAFIKI tu Bora liende. hafikirii kuna savings kwa ajili ya future (yeye ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save, tujenge yeye hana habari, excuse kibao.
Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.
Mke ni KICHOMI
Nakazia.Tafuta nyumba ndogo, ndio atajua hajui!!
Nilishakwambia msioe ila HAMSIKII.Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.
Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi.
Yeye ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye ni mtu wa makelele tu.
Sex ya manati, na huwa siinjoy-inabid kuvuta hisia ya mwanamke mwingine - imagination- ili nikojoe fasta nikafanye shughuli nyingine, kiufupi naishi KINAFIKI tu Bora liende. hafikirii kuna savings kwa ajili ya future (yeye ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save, tujenge yeye hana habari, excuse kibao.
Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.
Mke ni KICHOMI