Nitawashangaa watoto wa Lemutuz wakigandana huko Marekani na kutelekeza mirathi ya baba yao

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
6,236
15,603
Mi naona Lemutuz alikuwa mjasiriamali mpambanaji kwenye sekta ya social media na matangazo. Sekta ambayo kwa Tanzania na kwa ukubwa wake na mazingira ya matangazo mitandaoni, inaweza kuwa na potential ya kukuingizia sio chini ya free cash flow ya Tsh. 5 hadi Tsh. 6 million kwa mwezi ukiondoa gharama za uendeshaji.

Maana yake hiyo inakupa kama Tsh. 60 millioni kwa mwaka au (USD 25,000) na hiyo nadhani ni makadirio ya chini na kati. Sasa sijui kama kuna mtoto wa Lemutuz ambaye yeye huko Marekani anaweza kutengeneza net income ya USD 25,000 kwa mwaka.

Maana yake ni kwamba, mi naona ingekuwa vizuri sana walau hata mtoto mmoja angekuja kusimamia hii biashara ya baba yao na kuiboresha zaidi.

Kwa mahesabu ya ki finance, kwa average return ya 20% kwa mwaka na kwa annual free cash flow ya Tsh. 60 million kwa mwaka, hiyo maana yake inaipa biashara ya Lemutuz, valuation ya kati ya Tsh. 250 milllioni mpaka Tsh. 300 millioni.

Ndio maana narudia tena kusema, nitawaona hawa watoto hawana akili kama wakigandana huko Marekani na kuacha mali ya baba yao ikipotea bure.

Naomba ushauri huu uwafikie popote walipo.
 
Kulikuwa na pension yake Marekani alikuwa anangoja kulipwa na akawa anatamba sana akilipwa atafanya makubwa sijui alishalipwa? Ni hela ndefu sana karibia 1 million usd.

Ila jamaa alihaso Marekani. Alikuwa halali usiku na mchana kazi. Dereva mzuri sana wa magari taka. Kila kona na vichochoro vya newyork vilikuwa kichwani.
 
Kulikuwa na pension yake Marekani alikuwa anangoja na akawa anatamba sana akilipwa atafanya makubwa sijui alishalipwa? Ni hela ndefu sana karibia 1 million usd.

Ila jamaa alihaso Marekani. Alikuwa halali usiku na mchana kazi. Dereva mzuri sana wa magari taka. Kila kona na vichochoro vya newyork vilikuwa kichwani.
That guy was a real hustling nigger👏
 
Ndio maana narudia tena kusema, nitawaona hawa watoto hawana akili kama wakigandana huko Marekani na kuacha mali ya baba yao ikipotea bure.

Naomba ushauri huu uwafikie popote walipo.
Sitashanga wasipoona hilo maana tayari akili hawana, kwa afya yake ilipokuea imefikia Lemutuz alikua afe lakini hao watoto wamemuongezea speed

Baraka ni maneno, Mali na Pesa ni matokeo ya baraka
Baraka zinafuata mkondo toka kwa Mungu, zinashuka kwa baba kisha kwa watoto

Nawahurumia sana watoto wa lemutuz kwa waliyomwambia baba yao baada ya baba kuwaomba msamaha. Kuna siku watatamani arudi waongee

KUTOKA 20:12
“WAHESHIMU BABA yako na MAMA yako, ili uishi MAISHA MAREFU katika nchi ninayokupa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako.
 
Mi naona Lemutuz alikuwa mjasiriamali mpambanaji kwenye sekta ya social media na matangazo. Sekta ambayo kwa Tanzania na kwa ukubwa wake na mazingira...
Kabla ujafanya maamuzi na akili yako, uliza ushauri, utaingia hasara sana na huo uelewa wako.

Zile speaker na ukuta wa pink kwa office ye Le mbembez hauzidi 20m, hawezi kuwa na hiyo income.

Siamini kama ana hela huyo jamaa, atakuwa fukara tu wa kawaida kabisa huku duniani.
 
Nawahurumia sana watoto wa lemutuz kwa waliyomwambia baba yao baada ya baba kuwaomba msamaha. Kuna siku watatamani arudi waongee
Yule binti mnamuonea bure tu inavyoonesha alikuwa teyari kuyamaliza na mshua wake Le Mutuz ndiye aliyezingua lkn yule dogo wa kiume ni fala wa kiwango cha juu sana huwezi kumjibu dingi yako vile.
 
Sitashanga wasipoona hilo maana tayari akili hawana, kwa afya yake ilipokuea imefikia Lemutuz alikua afe lakini hao watoto wamemuongezea speed


Baraka ni maneno, Mali na Pesa ni matokeo ya baraka
Baraka zinafuata mkondo toka kwa Mungu, zinashuka kwa baba kisha kwa watoto

Nawahurumia sana watoto wa lemutuz kwa waliyomwambia baba yao baada ya baba kuwaomba msamaha. Kuna siku watatamani arudi waongee


KUTOKA 20:12
“WAHESHIMU BABA yako na MAMA yako, ili uishi MAISHA MAREFU katika nchi ninayokupa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako.
Hivi unadhani kizazi cha sasa, tena kimekulia Marekani maisha yote, mama yao mmarekani, watakuwa na muda kumuwaza baba yao? Mimi sidhani...
 
Back
Top Bottom