Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
Mi naona Lemutuz alikuwa mjasiriamali mpambanaji kwenye sekta ya social media na matangazo. Sekta ambayo kwa Tanzania na kwa ukubwa wake na mazingira ya matangazo mitandaoni, inaweza kuwa na potential ya kukuingizia sio chini ya free cash flow ya Tsh. 5 hadi Tsh. 6 million kwa mwezi ukiondoa gharama za uendeshaji.
Maana yake hiyo inakupa kama Tsh. 60 millioni kwa mwaka au (USD 25,000) na hiyo nadhani ni makadirio ya chini na kati. Sasa sijui kama kuna mtoto wa Lemutuz ambaye yeye huko Marekani anaweza kutengeneza net income ya USD 25,000 kwa mwaka.
Maana yake ni kwamba, mi naona ingekuwa vizuri sana walau hata mtoto mmoja angekuja kusimamia hii biashara ya baba yao na kuiboresha zaidi.
Kwa mahesabu ya ki finance, kwa average return ya 20% kwa mwaka na kwa annual free cash flow ya Tsh. 60 million kwa mwaka, hiyo maana yake inaipa biashara ya Lemutuz, valuation ya kati ya Tsh. 250 milllioni mpaka Tsh. 300 millioni.
Ndio maana narudia tena kusema, nitawaona hawa watoto hawana akili kama wakigandana huko Marekani na kuacha mali ya baba yao ikipotea bure.
Naomba ushauri huu uwafikie popote walipo.
Maana yake hiyo inakupa kama Tsh. 60 millioni kwa mwaka au (USD 25,000) na hiyo nadhani ni makadirio ya chini na kati. Sasa sijui kama kuna mtoto wa Lemutuz ambaye yeye huko Marekani anaweza kutengeneza net income ya USD 25,000 kwa mwaka.
Maana yake ni kwamba, mi naona ingekuwa vizuri sana walau hata mtoto mmoja angekuja kusimamia hii biashara ya baba yao na kuiboresha zaidi.
Kwa mahesabu ya ki finance, kwa average return ya 20% kwa mwaka na kwa annual free cash flow ya Tsh. 60 million kwa mwaka, hiyo maana yake inaipa biashara ya Lemutuz, valuation ya kati ya Tsh. 250 milllioni mpaka Tsh. 300 millioni.
Ndio maana narudia tena kusema, nitawaona hawa watoto hawana akili kama wakigandana huko Marekani na kuacha mali ya baba yao ikipotea bure.
Naomba ushauri huu uwafikie popote walipo.