Nitawapata vipi?

Nitawapata vipi?

Kwa hiyo tatizo lako ni utamuanza vipi…. .???oooooh okey ndo maana nimekwambia wee anza kuwa na URAFIKI nae then jua anapenda nini….. cha msingi lazima uwe na sababu ya kuzoeana nae… labda kama baa medi maana akilewa tu umemchukua ila kwa aliye na msimamo wake ni lazima ujue ni jinsi gani unaweza kumzoea.. Cha muhimu weka mazingira ya kumzoea
Love in Goa.......!!!
 
tafuta asiyemrembo, ukimpata mfanye mrembo.
 
Hi JF bila shaka mko poa na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
Leo napenda kuuliza swali hili kama utakuwa na jibu naomba utiririke hapo kwenye comment.
Mimi huwa naogopa sana kutongoza hawa wanawake warembo sababu huwa nasikia ukimutaka lazima mfukoni uwe umekamilika.
Nilikuwa nataka mnipe njia nyingine tofauti nitakayoitumia ili kumpata mtoto mrembo.

NB: Kama huna mchango wowote pita mbele wachangie wengine.

pole sana kama huna fweza warembo utaishia kuwaita shemeji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom