Nitawapata vipi?

Nitawapata vipi?

Mussa waukweli.

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
534
Reaction score
319
Hi JF bila shaka mko poa na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
Leo napenda kuuliza swali hili kama utakuwa na jibu naomba utiririke hapo kwenye comment.
Mimi huwa naogopa sana kutongoza hawa wanawake warembo sababu huwa nasikia ukimutaka lazima mfukoni uwe umekamilika.
Nilikuwa nataka mnipe njia nyingine tofauti nitakayoitumia ili kumpata mtoto mrembo.

NB: Kama huna mchango wowote pita mbele wachangie wengine.
 
Kuwa na hali ya kujiamini.. Sio kila sehemu pesa muhimu.. Cha msingi jiamini na kuwa muwazi katika kujiexpress yua selfu…
 
Kuwa na hali ya kujiamini.. Sio kila sehemu pesa muhimu.. Cha msingi jiamini na kuwa muwazi katika kujiexpress yua selfu…

Naogopa sana kuanza kumwambia sababu huwa nafikiria anaweza akanitolea maneno makali.
 
Okey… unajua kila binadamu huwa ana hali ya kuwa na self defence sasa, kuna wakati mwanamke anakutisha na unaweza isi labda atakutukana ila mwisho unampata… cha msingi weka mazingira ya kumzoea na pia jua anapenda nini na sio anatamani nini… wapo wanawake shida yao ni mapenzi.. Jaribu kuwa na urafiki nae ili ujue mengi kuhusu yeye ila usimzoee sana maana atakuzoea na anakuona kama kaka tu… so ni hayo….
 
Okey… unajua kila binadamu huwa ana hali ya kuwa na self defence sasa, kuna wakati mwanamke anakutisha na unaweza isi labda atakutukana ila mwisho unampata… cha msingi weka mazingira ya kumzoea na pia jua anapenda nini na sio anatamani nini… wapo wanawake shida yao ni mapenzi.. Jaribu kuwa na urafiki nae ili ujue mengi kuhusu yeye ila usimzoee sana maana atakuzoea na anakuona kama kaka tu… so ni hayo….

Nina namba nyingi sana za hawa warembo.... ukimuomba namba anakupa ila kumuanza ndiyo nashindwa.
 
Huna jib lingine utalopata zaid ya hayo hapo juu na kwa ufupi tu mtu hafundishwi kutongoza everyone with his own taticks.. pick up your lines
 
Kwa hiyo tatizo lako ni utamuanza vipi…. .???oooooh okey ndo maana nimekwambia wee anza kuwa na URAFIKI nae then jua anapenda nini….. cha msingi lazima uwe na sababu ya kuzoeana nae… labda kama baa medi maana akilewa tu umemchukua ila kwa aliye na msimamo wake ni lazima ujue ni jinsi gani unaweza kumzoea.. Cha muhimu weka mazingira ya kumzoea
 
Kwa hiyo tatizo lako ni utamuanza vipi…. .???oooooh okey ndo maana nimekwambia wee anza kuwa na URAFIKI nae then jua anapenda nini….. cha msingi lazima uwe na sababu ya kuzoeana nae… labda kama baa medi maana akilewa tu umemchukua ila kwa aliye na msimamo wake ni lazima ujue ni jinsi gani unaweza kumzoea.. Cha muhimu weka mazingira ya kumzoea

Poa poa kaka nitajaribu nione itakuwaje...nashukuru kwa mawazo yako mazuri.
 
Kwani hauwezi kufanya kazi ambayo mwingine anafanya au alikuwa anafanya???? Ukipata majibu basi jua kila kitu kipo na kinawezekana
 
Hi JF bila shaka mko poa na mnaendelea na majukumu ya kila siku....
Leo napenda kuuliza swali hili kama utakuwa na jibu naomba utiririke hapo kwenye comment...
Mimi huwa naogopa sana kutongoza hawa wanawake warembo sababu huwa nasikia ukimutaka lazima mfukoni uwe umekamilika...
Nilikuwa nataka mnipe njia nyingine tofauti nitakayoitumia ili kumpata mtoto mrembo.

NB: Kama huna mchango wowote pita mbele wachangie wengine.

Tafuta Pesa wewe,hao warembo sana sana watakupa gonjwa lisilo na dawa!! Pesa huna unatafuta warembo bila Pesa!!
"Wenzako wanawaza Swala kabla ya kulala wewe unawaza hawala anaekumaliza Mshahara"
 
Tafuta Pesa wewe,hao warembo sana sana watakupa gonjwa lisilo na dawa!! Pesa huna unatafuta warembo bila Pesa!!
"Wenzako wanawaza Swala kabla ya kulala wewe unawaza hawala anaekumaliza Mshahara"

Hata wewe mapenzi yako akili hilo halina kipingamizi.
 
Kuwa na hali ya kujiamini.. Sio kila sehemu pesa muhimu.. Cha msingi jiamini na kuwa muwazi katika kujiexpress yua selfu…

Mshauri vizuri ndugu yako, kwanza PESA, walau ya soda na usafiri, mengine ndo hayo...
We say we buy time, yes, time to express yourself, huwezi kufanya miadi hewani, lazima muwe kiwanja, kinywaji, bites; usafiri muhimu ila si lazima sana
 
Mshauri vizuri ndugu yako, kwanza PESA, walau ya soda na usafiri, mengine ndo hayo...
We say we buy time, yes, time to express yourself, huwezi kufanya miadi hewani, lazima muwe kiwanja, kinywaji, bites; usafiri muhimu ila si lazima sana

Ni kweli mkuu ndo maana nikamwambia awe naye karibu ili ajue anapenda nini…. Maana sio kila demu MONEY FRONT.. ila nimekupata mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom