mwaibile
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,017
- 4,858
Mkuu hapa umeongea point sana hii pia ili nikutaga nilikuwa mtu wamisifa kugawa offer sana nakaingia kwenye madeni ili niweze kumaintain ila now najiangalia nikiwa na mahitaji yangu muhimu na pesa iwe kidogo sana bas sijipi strees kwenda speed kiivyo kama deal bado najua badoNilikua na hii mind set nikikosa pesa nahangaka kama mbwa koko, ilinifanya nikaingia kwenye madeni mengi sana.
Sa hivi na relax mradi niwe na mahitaji muhimu basi!