Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,884
binadam ni wabaya kuliko wanyama swty . Ukizingatia wezi wa Arusha wote wana silaha kali lazima tujihami . Nategemea kuongeza na mabomu ya kurusha kwa mkono.
kuna ishu ya majambazi ilitokea Arusha....siku hiyo ndio niliamini tunahitajika kupaki vifaru uwani....