Nitapataje AK 47 kama ADAM MALIMA?

binadam ni wabaya kuliko wanyama swty . Ukizingatia wezi wa Arusha wote wana silaha kali lazima tujihami . Nategemea kuongeza na mabomu ya kurusha kwa mkono.

kuna ishu ya majambazi ilitokea Arusha....siku hiyo ndio niliamini tunahitajika kupaki vifaru uwani....
 
Kwa hiyo unataka kusema kuna sheria mbili mbili Tanzania hii kwa jambo lile lile? I mean endapo Polisi watasema ni halali, je basi sasa ni halali kwa watu wote wanaweza kupewa? Maana kwa lugha rahisi hiyo ni silaha ya vita....na ndo maana zinatumika jeshini. Sasa Malima anajeshi? Na kama ana jeshi yeye analinda nchi gani?
Malima alikuwa na SMG na sio AKalashnikov 47...

Sijui sheria kama imebadilishwa lakini mtu binafsi mara nyingi hawaruhusu kumiliki Machine Gun, hasa iliyo automatic kama AK 47. Na hata hii ya Malima kuwa na Sub Machine Gun inahitaji maelezo kutoka kwa poliCCM kama ni halali ingawa wataturubuni kuwa ni halali
 
Mbona ujaulizia risasi?? Usije kuwa unatuzuga tu uenda ikawa labda na wewe ni kaka jambazi una tafuta kitendea kazi,
 
ak47_6.jpg

AK47
 
hasha;3474556]
ak47_6.jpg

AK47[/QUOTE]

hapa hata policcm wakiskia mlio wa hii huwa wanakimbia kwanza na kusubiri kwa waondoke ndio waje
 
hata upate ant-missiles utaibiwa tu !!!!!!!
ndugu, mimi huwa natembea usiku kutokana na majukumu yangu binafsi. Nataka kupata ak 47 kwa sababu maadui wanaweza kuja na silaha nzito. Mimi najali sana uhai wangu naomba anayejua utaratibu wa kupata hiyo bunduki kama ile ya malima. Mwanzoni nilidhani ni majeshi katika nchi hii yanaruhusiwa kumiliki kumbe hata sisi raia tunaruhusiwa?tafadhali naombeni utaratibu ili nipate moja.
 
hi unaweza kupigwa risasi tano na ukapona . Ila shortgun ukipigwa moja lazima urudi kwa muumba.

Si kweli.., hii kama target yupo ndani ya effective range yake 400mts, huwezi pona.angalizo, risasi zikupate kwny maeneo muhimu huponi, ila ukiwa nje ya effective range kuna uwezekano wa kupona..., same applies to all small and medium arms
 
Back
Top Bottom