Nitapataje AK 47 kama ADAM MALIMA?

Nitapataje AK 47 kama ADAM MALIMA?

ak47_6.jpg

AK47

Kwani hii kitu ndo AK-47, au ni SMG wakuu !
 
Mi nshawahi igusa hiyo mikitu nilikuwa nafanya kazi na "the real african american" kwenye mashamba ya kahawa uko Mbozi nikawa nambebea, ukiibec hiyo unajisikia a man and half
 
Afu na hii ndo ipi wakuu, mbona sioni tofauti?

Smg ni replica ya ak 47..., kila kitu ni similar kwa ak 47, difference ni kwamba moja anatengeneza mrusi na nyingine anatengeneza mchina kwa agreement na mrusi..., ili ku-keep value ya ak47, mrusi alikataa replica inayotengenezwa china kuwa branded ak47,

sifa na tabia za smg na ak47, ni sawa sawa,,,,
 
Kitu 306 ikiwa na lens yake ndo kiboko yao.
Ipo LMG kama itakufaa.
 
nani anataka Alexandrei Kalashnikov 47? Pia kama kuna mwingine anataka model tofauti ani pm
 
ila kwa hizi semi-automatic rifles eg smg, ak 47, m16,,, kiboko yao ni m4.., very light, super accurate,, na butt(kitako) yake inakua na coil (re-coil system) ili ku-absorb shock wakati wa kumwaga njugu,,,
Kwa asiyezifahamu ni zile wanabeba mabody-guard wa marekani wakiwa kwny high profile guard (yani pale wasipobeba uzi gun zao ndani ya suti)...,
 
Nipo arusha anayeitaka ak 47 ani pm! Kwa sasa nina ki2 matata toka kwa boko haram ak ciitaki tena!!
 
ila kwa hizi semi-automatic rifles eg smg, ak 47, m16,,, kiboko yao ni m4.., very light, super accurate,, na butt(kitako) yake inakua na coil (re-coil system) ili ku-absorb shock wakati wa kumwaga njugu,,,
Kwa asiyezifahamu ni zile wanabeba mabody-guard wa marekani wakiwa kwny high profile guard (yani pale wasipobeba uzi gun zao ndani ya suti)...,

hii ni kweli mkuu .
 
Mpui Lyazumbi umenena

Ingekua na maana kama ingemsaidia kiongozi wetu asiweze kujidhalilisha pale Mji kasoro Bahari

Na ionaonekana vibaka wenyewe hawakutumia nguvu, Sasa sijui walimbembeleza tu awaachie mizigo??????????
 
HUYO MH. KASHA ELEZA ALIIBIWA VIPI. KABOMOLEWA, WAHUDUMU WALIIBA AU KAVUTA mmmmh TOKA CLUB MAARUFU KAUMBA HAPO MJI PASIPO BAHARI
 
ila kwa hizi semi-automatic rifles eg smg, ak 47, m16,,, kiboko yao ni m4.., very light, super accurate,, na butt(kitako) yake inakua na coil (re-coil system) ili ku-absorb shock wakati wa kumwaga njugu,,,
Kwa asiyezifahamu ni zile wanabeba mabody-guard wa marekani wakiwa kwny high profile guard (yani pale wasipobeba uzi gun zao ndani ya suti)...,

Em ntupie picha ya iyo m4 kaka!
 
Back
Top Bottom