African American
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 165
- 62
- Thread starter
- #41
Labda anayeniibiwe niwe nimelala nayehata upate ant-missiles utaibiwa tu !!!!!!!
Labda anayeniibiwe niwe nimelala nayehata upate ant-missiles utaibiwa tu !!!!!!!
najua kutumiaHivi hiyo AK 47 unweza hata kuitumia wakati jeshi la kujenga taifa limefutwa hatunatena mafunzo ya kivita?
Ndugu, mimi huwa natembea usiku kutokana na majukumu yangu binafsi. Nataka kupata AK 47 kwa sababu maadui wanaweza kuja na silaha nzito. Mimi najali sana uhai wangu naomba anayejua utaratibu wa kupata hiyo bunduki kama ile ya malima. Mwanzoni nilidhani ni majeshi katika nchi hii yanaruhusiwa kumiliki kumbe hata sisi raia tunaruhusiwa?tafadhali naombeni utaratibu ili nipate moja.
silaha zote hizo za nini!njoo kwa babu huku anakupa bomu la nyuki; akitaka mtu kukudhuru unamrushia tu..
hi unaweza kupigwa risasi tano na ukapona . Ila shortgun ukipigwa moja lazima urudi kwa muumba.
uko sawa..shortgun ikikutoboa lazima tutoe r.i.p
itakuwa ni ile ya njiro . Ilikuwa kiboko .
wa loly au yupi ?
eewaaa....kumbe ulikuwepo....
unamaanisha lolimorjoi au....?
namaanisha babu wa loliondo . Lolimorjoi ni wa wapi tena huyo ?
silaha zote hizo za nini!njoo kwa babu huku anakupa bomu la nyuki; akitaka mtu kukudhuru unamrushia tu..
huko ndio Loly karibu na Naibormut....
malima alikuwa na smg na sio akalashnikov 47...
Sijui sheria kama imebadilishwa lakini mtu binafsi mara nyingi hawaruhusu kumiliki machine gun, hasa iliyo automatic kama ak 47. Na hata hii ya malima kuwa na sub machine gun inahitaji maelezo kutoka kwa policcm kama ni halali ingawa wataturubuni kuwa ni halali