Nitapata wapi mkopo wa vitu vya ndani?

Nitapata wapi mkopo wa vitu vya ndani?

Deleted_account

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2008
Posts
3,385
Reaction score
3,702
Good morning ladies and gents,

Wadau nilipata majanga ya kuibiwa TV, Friji na jiko siku kadhaa nyuma. Mimi ni mwajiriwa na kamshahara sio haba ila nikisema ninunue vitu vyote inakuwa ngumu, wapi naweza kupata mkopo wa kimoja wapo au vyote kati ya TV, Friji au jiko na nilipe kidogo kidogo kwa miezi kadhaa? hata mitatu au minne maximum.
Naweza kujichanga kidogokidogo ila najaribu kuona kama njia hiyo pia inawezekana maana shemeji/wifi yenu anaboreka sana hadi anataka kwenda kupumzika kijijini kwa muda ye na mtoto.
Asanteni
 
Good morning ladies and gents,

Wadau nilipata majanga ya kuibiwa TV, Friji na jiko siku kadhaa nyuma. Mimi ni mwajiriwa na kamshahara sio haba ila nikisema ninunue vitu vyote inakuwa ngumu, wapi naweza kupata mkopo wa kimoja wapo au vyote kati ya TV, Friji au jiko na nilipe kidogo kidogo kwa miezi kadhaa? hata mitatu au minne maximum.
Naweza kujichanga kidogokidogo ila najaribu kuona kama njia hiyo pia inawezekana maana shemeji/wifi yenu anaboreka sana hadi anataka kukimbia kwa muda ye na mtoto.
Asanteni
Nenda Hisense watakupatia kwa mkopo.
 
Good morning ladies and gents,

Wadau nilipata majanga ya kuibiwa TV, Friji na jiko siku kadhaa nyuma. Mimi ni mwajiriwa na kamshahara sio haba ila nikisema ninunue vitu vyote inakuwa ngumu, wapi naweza kupata mkopo wa kimoja wapo au vyote kati ya TV, Friji au jiko na nilipe kidogo kidogo kwa miezi kadhaa? hata mitatu au minne maximum.
Naweza kujichanga kidogokidogo ila najaribu kuona kama njia hiyo pia inawezekana maana shemeji/wifi yenu anaboreka sana hadi anataka kukimbia kwa muda ye na mtoto.
Asanteni
Zungukia page za used items na uhakika utapata vyote kwa bei kitonga sana. TV 32" kwenye used unaipata hadi kwa laki na nusu.

Jiko elfu 30 hukosi la gas ndogo lile.

Friji pia andaa laki 2 na nusu unapata zuri tu.
 
Good morning ladies and gents,

Wadau nilipata majanga ya kuibiwa TV, Friji na jiko siku kadhaa nyuma. Mimi ni mwajiriwa na kamshahara sio haba ila nikisema ninunue vitu vyote inakuwa ngumu, wapi naweza kupata mkopo wa kimoja wapo au vyote kati ya TV, Friji au jiko na nilipe kidogo kidogo kwa miezi kadhaa? hata mitatu au minne maximum.
Naweza kujichanga kidogokidogo ila najaribu kuona kama njia hiyo pia inawezekana maana shemeji/wifi yenu anaboreka sana hadi anataka kukimbia kwa muda ye na mtoto.
Asanteni
Nakushauri acha kwanza mkeo akimbie kwa sababu mmeibiwa. Akikimbia ndo utafute hivyo vitu utanishukuru. Maana kumbe unakimbizana kukoa sababu yahuyo mkeo anayetaka kuondoka kisa tv.
 
Zungukia page za used items na uhakika utapata vyote kwa bei kitonga sana. TV 32" kwenye used unaipata hadi kwa laki na nusu.

Jiko elfu 30 hukosi la gas ndogo lile.

Friji pia andaa laki 2 na nusu unapata zuri tu.
Kwanini anunue inch 32 used wakati kwa laki 2 na 20 anapata mpya smart kwa hizi brands za homebase, boss, alyons, alitop, mewe na wenzao.

Friji la laki 2 na 50 akienda shop anapata haya ya teknolojia ya siku hizi ya kusave umeme. Ingawa litakua dogo safari hii mwizi akija anakuja na mfuko wa Marlboro anatumbukiza
 
Sasa huyu mkeo kwakua hana kazi ya kufanya mpaka anamiss TV inamaanisha anakua nyumbani muda wote.

Imekuaje mwizi kaja yeye hayupo? Wameshirikiana au wife kakopa VICOBA kagawa samani ili deni life halafu kakupiga na stori hiyo?

Au kampa mchepuko wake vitu vyako?
 
Nawaza Tu.
Mleta mada ni mkopaji maarufu. Hata hivyo vitu anavyodai vimeibiwa ni alikopa fedha akanunua kashindwa marejesho wenye pesa zao wamekuja kusafisha sebule.

Mwizi aibe TV,friji na jiko kwamba hapo nyumbani mke na mtoto walikuwa wapi
 
Back
Top Bottom