Nitapata wapi hati ya tabia Njema Police clearance Report

Nitapata wapi hati ya tabia Njema Police clearance Report

Kwanza kabisa sijajua upo mko gani,ila kama upo Dar rs salaam fika Wizara ya mambo ya ndani Posta Ghana Street ikiwa ni siku za kazi,fika ukiwa nadhifu na mavazi ambayo yanaruhusiwa sehemu fika,yani usivae viatu vya wazi ambayo si vya kufunga nyuma,mfano wa ndala,usivae pensi,usivae nguo iliyochanwa chanwa,usivae nguo inayobana,or fupi,muonekano wa nywele uwe nadhifu,usivae mlegezo,taratibu nyengine utazipata ukishafika

Nb.
Usisahau kubeba hata passport size hata 3 kwa emergency,pia usisahau kitambulisho chako.

Nakutakia kila la kheri
 
Nenda polisi ukiwa na barua ya Mwenyekiti wako mtaa au mtendaji ukifika polisi Kuna utaratibu utapewa pia usisahau picha za passport mbili uwe nazo.

Zikumbuki Kama Kuna kulipia Kama ipo haizid 5,000/=
Kama uko Dar es Salaam nenda Oysterbay au Urafiki ,au Mabatini, chang'ombe, msimbazi. usisahau mkono mtupu haurambwi.
 
Nenda polisi ukiwa na barua ya Mwenyekiti wako mtaa au mtendaji ukifika polisi Kuna utaratibu utapewa pia usisahau picha za passport mbili uwe nazo.

Zikumbuki Kama Kuna kulipia Kama ipo haizid 5,000/=
Kama uko Dar es Salaam nenda Oysterbay au Urafiki ,au Mabatini, chang'ombe, msimbazi. usisahau mkono mtupu haurambwi.
Sawa Nashukuru Sana
 
Mkuu Kama unahitaji kwa haraka Kuna chochote kitu natakiwa kutoa?? Yani mkono wa nyuma.

Mana Ina haraka sanaa
Ukiitaka haraka, hasa kwa wilaya/mikoa iliyo mbali na Dar, unalipa kiasi kitakachomwezesha askari kwenda physically Dar kwenye kanzidata na kurudi. Hapo utaipata faster. Ila sijui kama hii ya kutuma mtu Dar ni utaratibu rasmi au wa msaada tu.

Ukingojea utaratibu wa kawaida iko likely kuchukua wiki kadhaa, maana zinangojeana, huko Dar hakuna wa kuzisukuma ziende faster na kumbuka Dar zipo toka kote Tz.
 
Ukiitaka haraka, hasa kwa wilaya/mikoa iliyo mbali na Dar, unalipa kiasi kitakachomwezesha askari kwenda physically Dar kwenye kanzidata na kurudi. Hapo utaipata faster. Ila sijui kama hii ya kutuma mtu Dar ni utaratibu rasmi au wa msaada tu.

Ukingojea utaratibu wa kawaida iko likely kuchukua wiki kadhaa, maana zinangojeana, huko Dar hakuna wa kuzisukuma ziende faster na kumbuka Dar zipo toka kote Tz.
Duuh sawa mkuu nimekuelewa
 
Vipi Kama ushawahi kuwa na msala previously,na unaihitaji report isome clean,je Kuna uwezekano wa kusafisha hilo?
 
Ukiitaka haraka, hasa kwa wilaya/mikoa iliyo mbali na Dar, unalipa kiasi kitakachomwezesha askari kwenda physically Dar kwenye kanzidata na kurudi. Hapo utaipata faster. Ila sijui kama hii ya kutuma mtu Dar ni utaratibu rasmi au wa msaada tu.

Ukingojea utaratibu wa kawaida iko likely kuchukua wiki kadhaa, maana zinangojeana, huko Dar hakuna wa kuzisukuma ziende faster na kumbuka Dar zipo toka kote Tz.
Ni utaratibu rasmi, sisi tulimlipa askari kuhamisha silaha yetu kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ili kuhamisha usajili.
 
Habari jf
Naomba kuuliza Nina shida na police clearance certificate! Je nitapata wapi kwa gharama ipi na inachukua muda gani??

Makao makuu ya police ndio pale Central au msaada jamani
Nenda wizara ya mambo ya ndani ni wiki 1 au 2 unapata nilipata apo nilipokuwa naapply visa.
 
Rushwa. Ukizingatia barabarani kumedoda hivyo nguvu imehamia huko.
Asikudanganye huyu Tanzania tumeruhusu mambo mawili yafanyike

1--Takrima
hii ni asante yaani ondoa hofu MTU akikusaidia vizuri ukatoa kakitu kadogo ni asante au takrima

2--RUSHWA ,hii unaombwa unaweza ukajianda kutoa asante ukisubiria kuombwa unaweza ambiwa mtunza muhuri hayupo
 
Nenda kituo kikuu cha polisi utapata muongozo lkn kuna malipo ya serikali nadhani ni sh elf20 utaenda kwenye ofisi za afisa mpelelezi wa mkoa utachukuliwa alama za vidole then utapewa karatasi yako iliwekwa saini na uyo Afisa, nimeeleza kwa uelewa wangu mwingine anaweza kuongezea
Ni sawa kabisa maelezo yako sahihi, me nilichukua ila ni miaka mingi imepita
 
Hiyo kitu unaitumia wapi ndgu??
Ubalozini,au baadhi ya Nchi wakitaka kukupa vibali vya kudumu vya kuishi au kufungishwa ndoa huko ughaibuni,Kufungua kampuni nje huko ni mambo mengi ili wakujue wanadili na mtu salama ipo toka kitambo hii wanatoa wizara mambo ya ndani...kitambo jamaa aliomba Stellenbosch Unviversty wakamwambia aende na hiyo kitu..
 
Back
Top Bottom