shebi brown
New Member
- Apr 22, 2023
- 3
- 0
Hiyo nimeilewa mkuuKama upo dar es salaam fika Wizara ya mambo ya ndani Posta Ghana Street ukiwa umevaa nadhifu,kuanzia kichwani, usivae viatu vya wazi mfano wa ndala usivae pensi, usivae nguo inayobana,usivae singlend,fika siku ya kazi,usivae nguo iliyochanwa chanwa.
Nb
Usisahau kubeba passport size hata 3, kitambulisho chako
Mengine utafahamishwa utakapofika