Boom lishatoka?? Nipe 350,000/= nakuletea Dell D630.....
HDD-80GB
RAM-1GB
CPU-1.6GHZ(Duo Core)
acha wizi
Natumai ni wazima wakuu, swali ni kama kichwa cha uzi kinavyoonekana hapo juu. Kiasi cha pesa ni laki 5, ningependa ushauri wa kitaalamu na si ushabiki wa makampuni,
Ni vema ukaichambua itaweza kua ya kiwango gani.
Ahsanteni
Karibu Tech, Gadgets & Science Forum
kwanza unahitaji laptop mpya ama used??
kama ni mpya na ni kwa matumizi madogo madogo nakushauri nunua moja kati ya hizi.
1)Toshiba C850
INTEL DUO CORE 2.2 GHZ PROCESSOR,
2 GB RAM, 500 GB HARD DISK, DVDRW, CAMERA, MIC, BLUETOOTH,WIFI TECHNOLOGY, 15.6" SCREEN
2)Samsung Mini Net Book -NP-NC110
Display 10.1
ATOM 1.6Ghz processor
2 GB RAM
320GB HDD
6 Cell Battery, Blue tooth, Wi-Fi
Win 7 starter
Kwa haraka haraka ni hizo pia tembelea www.inaiuzwa.com na Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info
utapata aina tofautitofauti
hp 630
Ram 2gb
Hdd 320gb
Processor 2.1 ghz
Graphic memory 900 mb
Screen: 14 inches
nilikuwa na ya i3, dadeki na nimesafiri, ngoja nitapiga simu nyumbani kesho nikwambieMkubwa nataka hp 630 yenye intel i3 na 15" screen