laana haitoki kwa mzazi tu,unakumbuka ww(mume)wangu ulimpa laana yule aliekuuzia vitu feki?so kama huyu msichana alikuwa na commtment za ukweli na huyu kaka,kampotezea mda etc Mungu ninaemuamini mm dada huyu akiomba,am telling u,atatuandikia tena na kuomba msamaha
Habari zenu wana jamii!
Unamwambiaje mchumba wako wa zamani kuwa hutofunganae ndoa tena? kwasbb umeshaoa naombeni mchango wenu!
laana haitoki kwa mzazi tu,unakumbuka ww(mume)wangu ulimpa laana yule aliekuuzia vitu feki?so kama huyu msichana alikuwa na commtment za ukweli na huyu kaka,kampotezea mda etc Mungu ninaemuamini mm dada huyu akiomba,am telling u,atatuandikia tena na kuomba msamaha
wer sisterz rememba?
Ni mchumba ambae sijadate nae hata once ila alikuwa mchumba tu kwa kuwa namuona binti na nampenda, lakini sijashare nae mapenzi naomba nieleweke! zaidi ni sms na kupigiananae simu tu
unaelewa maana ya uchumba? hii ya kwenu ni u frnd wa kawaida tu.
aahh weeeeeeeee
ila ujue maombi ya mtu asiye haki ni chukizo kwa bwana alafu ww unajua kupangua maombi kweli ww
hahaaa bi mkubwa huyoooo!!!
Laussane ndugu yangu
Mbona hujatuambia hasa sababu yenye mashiko? kwa haraka haraka umesema
1. Sio wifey material
2. Yukonchi nyingene
3. Muda wake wa kurudi nyumbani bado (lakini nikajiuliza ni wapi huko wanakokataza mtu kurudi home kuja kufunga ndoa)
Ni kitu gani kinakushinda kumtembelea huko aliko mkakaa mkaongea kuliko kuishia kwenye simu tu na huku hujammega? au labda una wasi wasi kuwa huko aliko ana mwingine?
Ni nini kilisababisha hadi mkakata mawasiliano kwa muda wa miezi mitatu, au kwa vile ulishapata chombo kipya?
naona nina maswali mengi kuliko ushauri utanisamehe kwa hilo mkulu
Pearl Pole sana seems uliumizwa sana lakn thats life sometime it happens na kwasbb ambazo hazizuiliki
Laussane ndugu yangu
Mbona hujatuambia hasa sababu yenye mashiko? kwa haraka haraka umesema
1. Sio wifey material
2. Yukonchi nyingene
3. Muda wake wa kurudi nyumbani bado (lakini nikajiuliza ni wapi huko wanakokataza mtu kurudi home kuja kufunga ndoa)
Ni kitu gani kinakushinda kumtembelea huko aliko mkakaa mkaongea kuliko kuishia kwenye simu tu na huku hujammega? au labda una wasi wasi kuwa huko aliko ana mwingine?
Ni nini kilisababisha hadi mkakata mawasiliano kwa muda wa miezi mitatu, au kwa vile ulishapata chombo kipya?
naona nina maswali mengi kuliko ushauri utanisamehe kwa hilo mkulu
walikuwa na soft relationship so no maumivu
Habari zenu wana jamii!
Unamwambiaje mchumba wako wa zamani kuwa hutofunganae ndoa tena? kwasbb umeshaoa naombeni mchango wenu!
Ni kweli kabisa usemayo na huwa hawajali maumivu ya watu wengine wao wanaona sawa tu,kuna jamaa mmoja namfahamu aliwahi kumtenda binti wa watu,kam-engage na wako kwenye maandalizi ya harusi kumbe jamaa ana mtu mwingine na wanafanya mapenzi bila mchumba wake kujua,kilichotokea baada ya yule msichana mwingine kujulikana kwamba ana mimba na wazazi wake walipopata tetesi kuwa aliempa mimba binti yao yuko kwenye maandalizi ya harusi wakamng'ang'ania ikabidi avunje kule aoe yule mjamzito,baada ya kuoana na kupata mtoto,yule jamaa mbona alikoma mke akaanza vituko ndani ya nyumba hakuna maelewano wala nini,hivi sasa wala hawaishi pamoja kila mtu kivyake.
My point is haya maumivu ambayo huwa hawa jamaa wanatuletea iko siku watayalipia,haijalishi kwamba itachukua muda gani hata kama ni miaka ming
api lakini ipo siku.
wat do u mean sababu hazizuiliki? in ur post sijaona sababu sisizo zuilika zen badae utasema shetani tu alinipitia sijui kwann nyinyi hammpitii huyo shetani
wat do u mean hasie na haki?ukiwa na mchumba mtangulize Mungu ktk uchumba wenu,sasa kwann unasema hana haki huyu dada?mume wangu mume wangu!!!!!!!!!!!
aaaaaaaaaaaah B mi mwenyewe nimeuliza ili nione mashiko jamaa naona ananipotezea mwishowe natumia emotion zaidi hapa....
Nipe namba yake nikusaidie