Nitamwambia Nini M/Mungu kesho mbele zake

Nitamwambia Nini M/Mungu kesho mbele zake

imani yako ni kubwa na utabarikiwa kwa kutenda wema kwa wahitaji. nakutia moyo na usiiue hiyo kiu ulionayo ya kuwasaidia wahitaji. Na wakati mwingine mambo ya kile unachoamini ukiomba ushauri utapokea ukinzani utakaofifisha imani na kiu ulionayo sababu Mungu hakuweka kiu zinazofanana mioyoni mwetu ni vile tu hatuna hekima, huwa tunadhani kiu tulizonadho ni za muhimu kuliko kiu au desires alizonazo mtu mwingine. cha kuzingatia tu sababu unafanya kwa ajili ya Mungu mshirikishe Mungu pia kwa kuombea sadaka unazoziandaa na kutafuta maarifa ya namna tendo hili la kiimani liwe lenye baraka kwako na lisigeuke mwiba. Nia yako ni njema sana ila usipuuze mazingatio. Kuwa mwangalifu na kila la kheri. Umeniinspire.
 
imani yako ni kubwa na utabarikiwa kwa kutenda wema kwa wahitaji. nakutia moyo na usiiue hiyo kiu ulionayo ya kuwasaidia wahitaji. Na wakati mwingine mambo ya kile unachoamini ukiomba ushauri utapokea ukinzani utakaofifisha imani na kiu ulionayo sababu Mungu hakuweka kiu zinazofanana mioyoni mwetu ni vile tu hatuna hekima, huwa tunadhani kiu tulizonadho ni za muhimu kuliko kiu au desires alizonazo mtu mwingine. cha kuzingatia tu sababu unafanya kwa ajili ya Mungu mshirikishe Mungu pia kwa kuombea sadaka unazoziandaa na kutafuta maarifa ya namna tendo hili la kiimani liwe lenye baraka kwako na lisigeuke mwiba. Nia yako ni njema sana ila usipuuze mazingatio. Kuwa mwangalifu na kila la kheri. Umeniinspire.
Nashukuru sana Mkuu, Asante pia na umenitia moyo sana bila kuzingatia wanaonikatisha tamaa, Asante sana
 
So wakristo na waislamu, wakisema wanakusanya zaka na fungu la kumi ni wanaiba? Au tusemaje? Chief

Ndio wanaiba. Hilo ndio jibu.

Wewe waulize Zaka ni nini?
Anapewa nani?

Zaka ni fungu la kumi la pato lako analopewa Kuhani.
Uliza kwenye ukristo na uislam Kuhani ni kina nani?
 
Ndio wanaiba. Hilo ndio jibu.

Wewe waulize Zaka ni nini?
Anapewa nani?

Zaka ni fungu la kumi la pato lako analopewa Kuhani.
Uliza kwenye ukristo na uislam Kuhani ni kina nani?
Katika uislma /ukristo

Zaka ni sadaka ya lazima ambayo kila muislam/mkristo mwenye uwezo anatakiwa kutoa Kwa maskini na wenye haja , ni kama kusafisha Mali Yako na kusaidia jamii Kwa wakati mmoja
 
Katika uislma /ukristo

Zaka ni sadaka ya lazima ambayo kila muislam/mkristo mwenye uwezo anatakiwa kutoa Kwa maskini na wenye haja , ni kama kusafisha Mali Yako na kusaidia jamii Kwa wakati mmoja

Zaka sio Sadaka.
Kitu kikishakuwa lazima hakiwi Sadaka. Elewa hilo
 
Toa neno sadaka hapo, alaf niambie kama imeeleweka

Nakuelewa kama unafata maandiko ya kiyahudi zaid

Zaka msingi wake ni uyahudi.

Wakristo na waislam kupitia vitabu vyao vikuu having maelezo ya ziada kuhusu Zaka na nani apewe.
Wameiba dhana
 
Zaka msingi wake ni uyahudi.

Wakristo na waislam kupitia vitabu vyao vikuu having maelezo ya ziada kuhusu Zaka na nani apewe.
Wameiba dhana
Mda mwingine Inabidi uchukue maandiko na kuyatafsiri vizuri binafs Yako

Wamesoma vizuri tu kuwa zaka- ni lazima ambayo itakulazimu kama una kingi uwape waliokuwa na mahitaji maskini, so usi iweke iwe complicate kiasi icho , unajiona una zaid unajikwatua tu unaenda kuwapa maskini na wenye mahitaji, Mwisho wa siku hivyo vitabu havijashuka kutoka Kwa M/Mungu, Bali watu wamekopi maandiko somewhere so , usijibane sana lengo ni kuwainua wengine wasiojiweza
 
Mda mwingine Inabidi uchukue maandiko na kuyatafsiri vizuri binafs Yako

Wamesoma vizuri tu kuwa zaka- ni lazima ambayo itakulazimu kama una kingi uwape waliokuwa na mahitaji maskini, so usi iweke iwe complicate kiasi icho , unajiona una zaid unajikwatua tu unaenda kuwapa maskini na wenye mahitaji, Mwisho wa siku hivyo vitabu havijashuka kutoka Kwa M/Mungu, Bali watu wamekopi maandiko somewhere so , usijibane sana lengo ni kuwainua wengine wasiojiweza

Uwainue kwanza ndugu zako huo ndio msingi mkuu wa Dini
 
Back
Top Bottom