Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,776
Yani umeongea vizuri sana "Case Closed" wakipewa ushauri hawarudigi kutuletea mrejesho.Af hawa jamaa wasilete utani.. jana yule wa safri ya singida dodoma kapotelea hewani.
Haya huyu mwingine kashapewa maelekezo ya kufanya na yeye kuna uwezekano akapotelea hewani bila kuja kutupa mrejesho kama mimba imo au la.
Ifike sehem mawazo yetu yaheshimiwe
We jamaa, mtoa mada, kama una hofu katoa mimba kuwa smart, ukileta kipimo hapo gheto mtaishia kugombana maana atashkilia kidedea kua humuamini. Kuwa mjanja, toka nje nenda hata ka maabara au zahanati ambacho mnafahamiana na staff hapo, mwambie wazi shida yako ya kumpima mimba. Kisha rudi home mbebe mwambie tunaenda hospital naumia unavoteseka. Akigoma mbebe mzobemzobe mpeleke, wakifika ataandikiwa kipimo cha mkojo af mwanao atakupa majibu nje ya kambi kama imo au haimo. Mkiwa pamoja mtapewa majibu ya uti sugu. After hapo majibu ya swali lako unayo.
Sasa tukushauri vyote hivi af usilete mrejesho, hakyanan tunakuundia zengwe
Ila huyu mwanamke mwenzetu kakosea sana[emoji28][emoji28][emoji28]umeua mkuu
Kwaiyo mkuu upo single sasa?.
Toa location unapatikana wapi
Shida mimba sio ya Jamaaa...!!Kuna kutoa mimba na mimba kutoka bht mbaya elewa hvyo (miscarriage)
Aiseee huyo piga chini.Alikuwa nayo kweli Mkuu,mwenye mimba ni mzanzi mwenzie kazaa naye mtoto mmoja mimi nimezaa naye wawili.
Nipo makini sana Mkuu,hata ikionekana alikuwa na mimba sitompiga hata kelbu moja,namwachia kibanda naondoka zangu ili aendelee kulea wanetu,tumejaaliwa watoto wawili Mkuu.
Nimeshachunguza na nimejua alikuwa na mimba na hata mwenye mimba kamtaja,hakuna nilichokifanya zaidi ya kumtakia kila la heri na kuondoka zangu,tukiambiwa tusioe masingle mother mpaka tuone makaburi ya wazazi wenzao huwa hatuelewi mpaka yatukute.
Watoto hawana kosa lolote,watapata mahitaji yao kama kawaida.Daah pole sana,masikini watoto hao sasa watateseka kwa nyege za kijinga
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app