Nitamtambuaje mwanamke aliyetoka kutoa mimba?

Nitamtambuaje mwanamke aliyetoka kutoa mimba?

Daah nme
Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.
Mkuuu nunua UPT Duka la Dawa

Hakikisha unapata mkojo wake ( kwasababu katoa mimba akili yake itajua huo mkojo Hauna kitu )


Alafu upime huo mkojo Kwa UPT.... Mimba atakua katoa, lakini KIPOMO KITASOMA KUA ANA MIMBA.


Fanya hivo Ndani ya siku 14 Toka alipotoa mimba.
 
Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.


Ungetaka kujua ukweli usingemtaarifu mapema. Ungemshtukiza tu unapikaribia kufika home ili kuondoa uwezekano wa umwagaji damu ila kwa sasa, kubali tu yaishe. Kipange upya Baharia.

Next time usimpe taarifa mapema maana anakuwa na nafasi nzuri ya kubadilisha hali yake.
 
Ungetaka kujua ukweli usingemtaarifu mapema. Ungemshtukiza tu unapikaribia kufika home ili kuondoa uwezekano wa umwagaji damu ila kwa sasa, kubali tu yaishe. Kipange upya Baharia.

Next time usimpe taarifa mapema maana anakuwa na nafasi nzuri ya kubadilisha hali yake.
Sikujua kama ana mimba mkuu,na siku zote huwa nafanya hivyo .
 
Alimeza dawa huyo za kutoa kibendi,,, Sasa kuna masharti au Maelekezo ukinywa hizo dawa hakuyatilia maanani ndiyo maana bleed 🩸 inampeleka puta.
 
Nipo makini sana Mkuu,hata ikionekana alikuwa na mimba sitompiga hata kelbu moja,namwachia kibanda naondoka zangu ili aendelee kulea wanetu,tumejaaliwa watoto wawili Mkuu.
Hao watoto wawili mliojaaliwa ni wa nani?
 
Kwa kuwa hukuwepo ilipoingia hiyo mimba huwezi kujua kilichotoka, kubali tu kuwa ni bleed.

Wanaume, Mungu awatie nguvu.
Tena ukute jamaa alikuwa anampenda mke wake hadi samaki anamtolea miba.mwisho wa siku imelia
 
Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.
Rahisi tu mbona. Unamgundua kwa kumwona sasa hana mimba.
 
Nilikuwa mbali na familia yangu miezi tisa, zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza safari nikawa nimempa taarifa mke wangu kwamba siku fulani nitakuwa nyumbani. Niligundua hiyo taarifa haikumfurahisha kwani hakuipokea kwa bashasha. Stori isiwe ndefu, nilifika nyumbani tarehe 18 mwezi huu, kilichonifanya nianzishe uzi huu hapa ni hiki.

Nimemkuta akiwa anablidi na akilalamika maumivu makali sana ya tumbo. Nahisi alikuwa ana mimba sasa kaamua kuichomoa. Napenda nijiridhishe kitaalam kama inawezekana, ndiyo maana nimekuja kwenu ili mnipe elimu kama kuna vipimo vya kisasa au njia nyingine mbadala ya kumtambua mwanamke aliyetoa mimba.

Asanteni.
NJIA NYINGINE MTOE NGUO ZOTE MLAZE KITANDANI CHALI VUTA STULI KAA PEMBENI MWANGALIE TUMBONI AKIWA AMELALA CHALI UCHI KAMA DK 10 BILA KUVUTA PUMZI. ATAAMKA NA KUKUOMBA MSAMAHA KUWA HATORUDIA TENA. UKIONA AMELALA TU BILA SHIDA UJUE HAKUWA NAYO.
 
Simple, mpime tu kwa kipimo rahis cha UPT kinauzwa buku, ni kwamba Hormones uwa bado zinasoma inafikaga adi miez miwili bado zinasoma kuwa anaujauzito ilhali alishaitoa miez miwil iliyopita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom