Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Hiyo ndiyo mipango mkakati wa kuimaliza CHADEMA kama inavyoratibiwa na CCM chini ya Nnape,Tyson Wassira na Kinena(Kinana)!Kwamba kuna mamluki wengi walihama CCM kujiunga na CDM wakiwa wamepewa maelekezo rasmi au maalumu kuivuruga CDM. Wapo wengi wakina Shibuda,ZZK na wengineo. CHADEMA kuweni macho na hawa mamluki maana wana tuharibia Chama.

Mimi nawashauri hawa mamluki wafikirie mara 2 kabla hawajatenda upuuzi wao kukimbilia CCM. Kama hawakijui vizuri chama cha Mafisadi-CCM basi wawaulize kina Samwel Sitta(former SPK),Lowassa(former PM),Rostam Aziz,Amina Chifupa(RIP),Horace Kolimba(RIP),etc!!!Hawa jamaa wanakurupuka tu hawajui kuwa CCM Inawatumia kama TOILET PAPER, kwamba mtu anapotaka kwenda chooni ndipo anaona umuhimu wa TP! Akishatua ngama yake chooni hana habari na TP tena!!!!!!Juliana Shonza asifikirie kuwa yeye ni tofauti na hawa, she will be treated the same and equally!!!

Poleni sana mazezeta na malimbukeni mnaokimbilia CCM na kutumika kama Toilet Papers.
 
Sio Shonza aje Jakaya Kikwete ubungo hapati kitu mfa maji akosi kutapatapa
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

juliana anafaaa kugombea ujumbe wa nyumba kumi,hata siku moja hauwezi kulinganisha tembo na sisimizi.juliana bado saaaana kwa mnyika.labda akagombee uwt ccm ngazi ya kitongoji.kura yako kwa juliana yangu kwa mnyika,hapo ng'oma droo.
 
Ubongo wa Juliana Shonza utakuwa hivi:

BrainMens.gif

Safari_ni_safari,

Nimefurahishwa sana huu mchoro. Hii bwana siyo kwa Juliana Shonza tu baali inawahusu Wabunge wote wa CCM na viongozi wote wa Chama Twawala. Maneno yao na Matendo yao yanadhihirisha jinzi Bongo zao zilivokaa kama hapo juu kwenye mchoro!! Mtu kama Anna Makinda,Chemba Mwigulu,Job Ndugai,Lukuvi,Wassira,Nape Nauye,Kinana,Nchimbi na wengineo ndivo bongo zao zilivyokaa!!!

Poleni sana Magamba.
 
Wishful thinking, as always if wishes were horses beggars would ride, so anaota ndoto za alinacha
 
Huyu mbona anakuja vibaya hivyo??? Anafikiri CCM unajiamulia tu ugombee wapi na unapita kama ilivyo CDM? CCM kuna demokrasia ya kweli, kuna mchakato wa kumpata mgombea, hamna udicteta wa CDM wa Mbowe au Slaa wa kuamua nani agombee wapi!!!!


Rejao unasemaje kaka ?
Duh nimecheka sana kumbe nawe umemuona CCM mwenzako ni kichaa siyo ?
 
Huyu dada nadhani alikuwa ameshiba pilau kwa sababu aliingia kwenye mkutano ambao hatakaa aingie tena maisha yake yote akiwa CCM. Mwacheni aendelee kuropoka nadhani uchungu wa kufukuzwa haujaisha ukiisha ataanza kuongea sense.
 
Huyu mbona anakuja vibaya hivyo??? Anafikiri CCM unajiamulia tu ugombee wapi na unapita kama ilivyo CDM? CCM kuna demokrasia ya kweli, kuna mchakato wa kumpata mgombea, hamna udicteta wa CDM wa Mbowe au Slaa wa kuamua nani agombee wapi!!!!
Rejao unafanana na AVATAR yako aisee!!
 
Hakuna kilichofanyika kwenye jimbo la Ubungo zaidi ya kumuona mbunge wetu Mnyika akiruka sarakasi zake bungeni ambazo hazitusaidii chochote sisi wananchi.

Juliana Shonza atapata ubunge bila ya wasiwasi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

labda wa mtaani kwenu.....
 
Huyu mbona anakuja vibaya hivyo??? Anafikiri CCM unajiamulia tu ugombee wapi na unapita kama ilivyo CDM? CCM kuna demokrasia ya kweli, kuna mchakato wa kumpata mgombea, hamna udicteta wa CDM wa Mbowe au Slaa wa kuamua nani agombee wapi!!!!

Karibu mwenyeji
 
531761_10152143897020931_1159563049_n.jpg


huyu dada ana ujasiri mkubwa. jinsi alivyohutubia jana pale dodoma, inaonesha uwezo wake ni mkubwa. anasema chdm kuna mfumo dume. tusimshambulie kwa kauli yake. tuifanyie kazi. hivi kweli katibu mkuu wa chdm dr slaa ni mbabe? katika gazeti la rai la leo amekiri kuwa ubabe anao kwa kiasi fulani. hamuoni kuwa anakubaliana na juliana?

juliana akipitishwa na ccm kugombea ubungo, anaweza kumtoa kamasi na kumgaragaza mnyika. la kufanya ni mnyika kujipanga vizuri. tusiwe na utamaduni wa kudharau watu. juliana anatisha awapo jukwaani
555980_292613907530931_2065852268_n.jpg


hoja ya kwamba juliana alikua amefukuzwa chdm haina mashiko. hata dr slaa alikua mbunge wa ccm. alipo angushwa kwenye kura ya maoni ndiyo akakimbilia chadema. kuna watu hawajui historia ya slaa. vijana wengi wanadhani alianzia chdm.
 
531761_10152143897020931_1159563049_n.jpg


huyu dada ana ujasiri mkubwa. jinsi alivyohutubia jana pale dodoma, inaonesha uwezo wake ni mkubwa. anasema chdm kuna mfumo dume. tusimshambulie kwa kauli yake. tuifanyie kazi. hivi kweli katibu mkuu wa chdm dr slaa ni mbabe? katika gazeti la rai la leo amekiri kuwa ubabe anao kwa kiasi fulani. hamuoni kuwa anakubaliana na juliana?

juliana akipitishwa na ccm kugombea ubungo, anaweza kumtoa kamasi na kumgaragaza mnyika. la kufanya ni mnyika kujipanga vizuri. tusiwe na utamaduni wa kudharau watu. juliana anatisha awapo jukwaani
555980_292613907530931_2065852268_n.jpg

Wewe Gamba utamshauri nani?
 
hivi kwa kijana kama shoza kurudi ccm ni akili au matope kwa kichwa jaman?
 
531761_10152143897020931_1159563049_n.jpg


huyu dada ana ujasiri mkubwa. jinsi alivyohutubia jana pale dodoma, inaonesha uwezo wake ni mkubwa. anasema chdm kuna mfumo dume. tusimshambulie kwa kauli yake. tuifanyie kazi. hivi kweli katibu mkuu wa chdm dr slaa ni mbabe? katika gazeti la rai la leo amekiri kuwa ubabe anao kwa kiasi fulani. hamuoni kuwa anakubaliana na juliana?

juliana akipitishwa na ccm kugombea ubungo, anaweza kumtoa kamasi na kumgaragaza mnyika. la kufanya ni mnyika kujipanga vizuri. tusiwe na utamaduni wa kudharau watu. juliana anatisha awapo jukwaani
nakaayasumari.jpg
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.

Kweli nimeamini masikini akipata, Masaburi hulia mbwata mbwata..... Ngoja wenzie wamgegedue sasa.
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
timu uliyojisajili haina uwezo wa kuifunga timu ya nyika labda mmuhonge refa
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.[/QUOTE

Asidhani kumng'oa mnyika ni rahisi kama ilivyo rahisi kwa Shoza kutiwa na Nape Nnauye. ameona kumkubalia nape kumkojolea ni rahisi hivyo anadhani hata kupambana na Mnyika ni vyepesi sio asijidaganye.
 
Duuh. Dada kaanza kazi, nape ndoto za ubunge ubungo zinayeyushwa na shonza! Tutaona mengi mpaka kufikia 2015!
 
Back
Top Bottom