Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

Nitamng'oa Mnyika Ubungo - Juliana Shonza

531761_10152143897020931_1159563049_n.jpg


huyu dada ana ujasiri mkubwa. jinsi alivyohutubia jana pale dodoma, inaonesha uwezo wake ni mkubwa. anasema chdm kuna mfumo dume. tusimshambulie kwa kauli yake. tuifanyie kazi. hivi kweli katibu mkuu wa chdm dr slaa ni mbabe? katika gazeti la rai la leo amekiri kuwa ubabe anao kwa kiasi fulani. hamuoni kuwa anakubaliana na juliana?

juliana akipitishwa na ccm kugombea ubungo, anaweza kumtoa kamasi na kumgaragaza mnyika. la kufanya ni mnyika kujipanga vizuri. tusiwe na utamaduni wa kudharau watu. juliana anatisha awapo jukwaani
555980_292613907530931_2065852268_n.jpg


hoja ya kwamba juliana alikua amefukuzwa chdm haina mashiko. hata dr slaa alikua mbunge wa ccm. alipo angushwa kwenye kura ya maoni ndiyo akakimbilia chadema. kuna watu hawajui historia ya slaa. vijana wengi wanadhani alianzia chdm.

Ningekuwa sio mkristo ningekushushia matusi yote ya duniani, usirudie tena kuandika uchafu kama huu!!
 
Kamshindwa Saa8 atamuweza kamanda Mnyika?Hapa naamini alihitaji ku-make headline tu ila hata yeye anajua kuwa anaongelea visivyowezekana.Poor Shonza
 
:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:

KUNG'OA KITU AMBACHO HUKUKIPANDA NI KOSA LA JINAI
 
Mbona anataka kujiabisha huyu dad,hata apitishwe na ccm Mnyika ndio shujaa wetu wanaubungo. Hang`olewi hata kwa greda sasa haka kamkokoteni nako kana furahisha umma tu atakopwa bule huko na jina lake halipiti ataishia kupata heart attack tu!!
 
Tanzania daima likiwa la udaku uhuru utaitaliitaje?

hayo ukitaka uyaone kwa wingi nenda kwa akina mama ntilie ndo kazi yake iliyobaki,tembea uendako ukimuona mtu kalinunua basi mwangalie kichwani atakuwa na upala kama hana huyo atakuwa ndugu yangu anakuja Lumumba hapa.
 
:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:

KUNG'OA KITU AMBACHO HUKUKIPANDA NI KOSA LA JINAI

jino ni neema na pando la Mungu. daktari wa meno siyo aliyelipanda pale kwenye fizi. ina maana mgonjwa wa jino akienda hospitali na daktari akamng'oa jino, anakua amefanya kosa la jinai? majimbo hayana wenyewe. upepo ukibadilika mtu anaweza ng'olewa

ufafanuzi mkuu!
 
Duuh. Dada kaanza kazi, nape ndoto za ubunge ubungo zinayeyushwa na shonza! Tutaona mengi mpaka kufikia 2015!
Mwehu tu huyo Juliana, Nape amekulia CCM na fitna zote anazijuwa lakini kweny kura za maoni alipigwa chini, inahitaji akili ya ziada kuwaelewa vyema wana CCM kinapofika kipindi cha kura za maoni.

Kata ninayokaa mimi tayari wahuni wa CCM ambao ni rafiki zangu wameshaandaa kadi za CCM elfu 5000 wanasubili kuzigawa kwa wanachama mamluki mwaka 2015 ili Kumng'oa Makongoro Mahanga. na jimbo lina kata 9. tia akili mwenyewe hapo kifuatacho.

Kama hazijui chaguzi za CCM ni bora akaomba ushauri kwa Le Mutuz alivyofirisiwa vidola vyake toka Marekani na akapigwa chini, au amuulize Kingwangwalah kama aliwahi kushinda kura zozote kwenye chaguzi za CCM.
 
CCM wana mapungufu yao lakini sio kwa kiasi hiki. Hawawezi kurogwa kumpa Juliana Shonza nafasi hii. Ubunge ubungo this time hawana sababu ya kumnyima Nape Nauye ambaye binafsi ndiyo naona walau anaweza akamtikisa kidogo Mnyika.
 
anawaza jimbo la Ubungo nani atampitisha kuwania hicho kiti.?
 
Shonza, una tatizo gani bibie?
Umemshindwa Ben Saa8 kule PM7, kule BAVICHA kwa Kamanda Heche hukumudu viwango na kasi & viwango, ukaingia tamaa ya usaliti na kufumaniwa ktk usaliti huo kisha na kuwekwa kando .....ukawa POW..... na hatimaye sasa hivi umefika home kwenu CCM.

Ngazi pekee unayoweza kugombea ktk miaka 15 ijayo ni kuwa mwenyekiti wa mtaa (uswahilini tu). Na kama Mh. Mnyika alivyokuambia wewe omba hawa wanga wenzio wakupitishe.....which is IMPOSSIBLE!

You're too error-proned for a leader. Obviously you have a low intelligence level, to be honest with you. So you and CCM are a perfect match!
 
jino ni neema na pando la Mungu. daktari wa meno siyo aliyelipanda pale kwenye fizi. ina maana mgonjwa wa jino akienda hospitali na daktari akamng'oa jino, anakua amefanya kosa la jinai? majimbo hayana wenyewe. upepo ukibadilika mtu anaweza ng'olewa

ufafanuzi mkuu!

Sasa unauliza nini? Kama jimbo liko wazi kwa nini aseme atamng'oa Mnyika? Si akagombee tu nani kamzuia?
 
531761_10152143897020931_1159563049_n.jpg


huyu dada ana ujasiri mkubwa. jinsi alivyohutubia jana pale dodoma, inaonesha uwezo wake ni mkubwa. anasema chdm kuna mfumo dume. tusimshambulie kwa kauli yake. tuifanyie kazi. hivi kweli katibu mkuu wa chdm dr slaa ni mbabe? katika gazeti la rai la leo amekiri kuwa ubabe anao kwa kiasi fulani. hamuoni kuwa anakubaliana na juliana?

juliana akipitishwa na ccm kugombea ubungo, anaweza kumtoa kamasi na kumgaragaza mnyika. la kufanya ni mnyika kujipanga vizuri. tusiwe na utamaduni wa kudharau watu. juliana anatisha awapo jukwaani
555980_292613907530931_2065852268_n.jpg


hoja ya kwamba juliana alikua amefukuzwa chdm haina mashiko. hata dr slaa alikua mbunge wa ccm. alipo angushwa kwenye kura ya maoni ndiyo akakimbilia chadema. kuna watu hawajui historia ya slaa. vijana wengi wanadhani alianzia chdm.
Kama kitu hujui ni bora ukauliza usaidiwe kuliko kuonesha ukilaza wako, Dr Slaa hajawahi kushindwa kura za maoni CCM, bali alishinda kura za maoni lakini vikao vya uteuzi vikamletea mizengwe kama aliyoletewa Hussein Bashe. Hili kosa CCM wanalijutia na limewagharimu na litawaondowa madarakani 2015.

wewe ndio unapaswa kupewa Historia ya Dr Slaa maana hamna unalolijuwa kwa sababu yaonekana una kaswende ya ubongo.
 
Atalipa nua! Hawezi kuhangaika sana....... Maji hayakatwi kiivo.
 
Juliana Shonza aliyetimuliwa CHADEMA na kujiunga na CCM jana amelalamikia CHADEMA kuwa kuna mfumo dume na kwamba hakuna mwingine anayetoa kauli zaidi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

Shonza alitumia fursa hiyo kumtumia salamu Mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) na kumtaka ajiandae kwa mapambano katika uchaguzi wa mwaka 2015.Shonza amesema mjini Dodoma kwamba mwaka huo ndiyo utaamua kati yake na Mnyika ni nani zaidi Ubungo

Akihojiwa na gazeti la Mwananchi Mbunge wa Ubungo John Mnyika amemtaka Shonza amuombe Mungu kwanza ili apitishwe na CCM kugombea na mengine yatafuatia.

Source:Tanzania Daima/Mwananchi.
Ha ha ha aaah hichi kichedu kinaota mchana kweupe yaan kweli anataka kutunishiana msuli na mh Mnyika!?katakuwa kamelogwa haka si bure.
 
CCM wana mapungufu yao lakini sio kwa kiasi hiki. Hawawezi kurogwa kumpa Juliana Shonza nafasi hii. Ubunge ubungo this time hawana sababu ya kumnyima Nape Nauye ambaye binafsi ndiyo naona walau anaweza akamtikisa kidogo Mnyika.
Hivi kubwabwaja ndio kumtingisha mtu? kwa mtu makini na unayejuwa kureson Mnyika siyo one term parliament Member. take it or leave it.

Hili wala halihitaji ushabiki wapo wabunge wa Chadema ambao wanaoweza kuangushwa 2015 lakini siyo Mnyika, pale hata asimame JK hana uwezo wa kumshinda Mnyika.

Wewe kama ni sehemu ya washauri wa Nape naomba msipotoshe mwenzenu akapata gharama zisizo na tija. hata kilimo sasa ni biashara nzuri tu unaweza kununuwa matrekta na ukainvest huko ukapa clean income, lakini siyo kwenda kuwaomba kura wananchi ambao wanakuona wewe ni sehemu ya shida zao wanazozipata.
 
hahahaha>>>naomba chama chake kimpitishe..maana hapo hatutakuwa na kazi ya kulinda kura!
 
kwa wenye upeo mdogo wa kuangalia mambo kama alivyo Juliana Shonza wakimuangalia wanadhani Mnyika kwamba ubunge wa Ubungo ndio kafika (destiny).
Mh. Myika ni kijana mwenye upeo mkubwa wa kuangalia mambo na sijawahi kuongea naye lakini nadhani malengo yake yanaweza yakawa zaidi ya hiyo Ubungo. Chukulia hata mfano mdogo wa Mh. Halima Mdee alivyotokea katika vyanzo huru duniani kuwa ni miongoni mwa wanawake 10 jasiri(?) Afrika alafu udhanie kuwa 'njaa' yake inaishia kwenye jimbo la Kawe!

Kwanza huyu Juliana Shonza akijilinganisha kiuwezo na Mkuu wa wilaya Hawa Ngumbi aliyeshindwa vibaya sana na Mh. Mnyika na wakati huo alikuwa hata hajaonyesha uwezo wake kwa wengi wetu.
Lakini mwisho, asisahau kuwa Majimbo ya Ubungo na Kawe yanasadikiwa kuwa na wapiga kura wenye uelewa mkubwa hapa Tanzania ukilinganisha na maeneo mengine na sio sehemu za kugawa sahani za pilau.
Ni bora tu akaendelea 'kujiegesha' kwa mkulu (kama nilivyoona kwenye picha moja) badala ya kufikiria mambo kubwa kama haya maana hata alilotumwa kufanya cdm limemshinda
 
Back
Top Bottom