Nitakufa Mara Ya Pili

Nitakufa Mara Ya Pili

stori iko powah bt umeharibu ki2 ki1 kwa kusema ni stori ya kweli dah ngumu kumeza
 
Da ndugu yangu kama nistory ya kweli du; si mchezo wachawi wanafaa kupigwa mapanga sio wa kuwaacha, kama umetunga mzee- --, una-bonge ya talent. Si mchezo. Bonge la mwandishi. BIG UP.
 
Amakweli mapenz hatari sna yanaweza kumbadilisha mtu leo nimeamin daah kama simulizi hi niya kweli vp saiv maisha ya sabina na helena
 
Wapendwa
Simulizi Hii Ni Ya Kweli
Ingawa Mimi Sio Shija
Kwa Sasa Shija Na Wazazi wake hawaishi Kijijin Kwao Tena
Vlvle Maisha Yao Ni Ya Kiucha Mungu Sana

Mama Helena Alifariki Miaka Miwili Iliyopita(aliugua Gafla Na Kufariki Mda Mchache Asubuh)
Sabina Sasa Ni Mama Wa Familia Na Ana Watoto Wawili vivyo Hivyo Helena Yeye Ana Mtoto Mmoja
Ingawa Wako Mbali Sana Lakini Huwa Wanawasiliana Na kubadirishana Mawazo Ya Kimaisha!

Nikipata Mda, Nitarusha Nyingine Inayosisimua Zaidi Ya Hii(TEKNOLOJIA YA UCHAWI UNAOTISHA)
Ahsanten
 
Wana JF niungeni mkono tupatiwe JUKWAA LA MAISHA,MIKASA na USHAURI
ili simulizi kama hizi za Majigo Mzizi Mkavu zisaidie kutujenga kimaisha.

Umeongea la maana, nami nilifikiria kitu kama hicho cha kuweka haya mavituz kwenye jukwaa jipya.
 
Duuuuuuuuu!!!!!!!!!! yaani hata siamini machozi yamenilengalenga very captivating
 
Big up, stori zenu kina Majigo, Mzizimkavu, Chai Chungu na Mtambuzi zinavutia sana ukianza kuisoma lazima uimalize.
 
Du pole sana, sijawahi kusoma mpaka pag 13, ila kwa story hii ni noma


Yego Majigo, oukabya go! Omana unuu!!!... Salut sana mkuu, umenifanya nisioge toka hadithi hii ilipoanza.. Wacha nipate Maji na nijisogeze tena close na shemeji yako 🙂 echikulinda Echikaka.
 
Kaka wewe ni kiboko,Duh stori nzuri na inamafunzo mengi mno..
 
Mkuu uzi mwingine wa kusisimua kama huu tuutegemee lini????? Uzi unasoma mpaka unasahau kama hii ni january mwezi dume!!!!
 
Wapendwa
Simulizi Hii Ni Ya Kweli
Ingawa Mimi Sio Shija
Kwa Sasa Shija Na Wazazi wake hawaishi Kijijin Kwao Tena
Vlvle Maisha Yao Ni Ya Kiucha Mungu Sana

Mama Helena Alifariki Miaka Miwili Iliyopita(aliugua Gafla Na Kufariki Mda Mchache Asubuh)
Sabina Sasa Ni Mama Wa Familia Na Ana Watoto Wawili vivyo Hivyo Helena Yeye Ana Mtoto Mmoja
Ingawa Wako Mbali Sana Lakini Huwa Wanawasiliana Na kubadirishana Mawazo Ya Kimaisha!

Nikipata Mda, Nitarusha Nyingine Inayosisimua Zaidi Ya Hii(TEKNOLOJIA YA UCHAWI UNAOTISHA)
Ahsanten
Mkuu majigo tunaisubili kwa hamu, ungetupa tarehe utapoanza kuirusha. unatisha sana mkuu
 
Daaah Majiko kweli kiboko. Yani nili installed JF lkn sikujiregister kwa bahati tu nikafungua nakuianza kusoma katikati na sikurudi nyuma mpk leo nimemaliza sijui siri ya Mzee Manoni. Majiko umenifanya ni jiunge ili niweze kusoma vizur mana nilikuwa napata tabu sana nilipokuwa nasoma bila kujiunga mana page zilifunguka kwashida sana, leo nikajiunga kusoma ili niimalize. Hongera
sana. OMBI HOPE SHIJA ALIWEZA KUWASILIANA NA HELENA IVYO UNGETUANDIKIA UPANDE WA PILI WASHILINGI KWA UREFU TUWEZE KUPATA RAHA ZAID.
 
Back
Top Bottom