Nitakuchukia for the rest of my life

Nitakuchukia for the rest of my life

Jambo zuri n kwamba

Hakuna linalodumu milele

Unapaswa kusamehe ili kuupa moyo amani

Samehe japo kusahau n ngumu Ila utaweza ikiwa tu kama umedhamiria kusonga mbele

Wewe n mwanaume bana jikaze kulalama hivi hakubadilishi uhalisia

Huwezi kusonga mbele kama uarudiarudia yaliyopita

Kubali moyoni ndio maji yameshamwagika

What is meant to be yours will always find a way
 
"Chuki humchoma yule anayeihifadhi " Fid Q..
Bro jikungute Uendelee mbele..
She's just a human...
 
Niliingia katika mahusiano na wewe mwanamke kipindi kile na graduate, nikakupenda kwa moyo wangu wote, pamoja na kuishi katika mikoa tofauti nikawa mwaminifu kwako sikuwahi kuchepuka hata kidogo, nilijitahidi kwa moyo wangu wote kwa kadiri kulingana na uwezo wangu kudumisha pendo langu, wakati mwingine niliwadanganya wazazi naenda kwenye interview (MUNGU anisamehe) wanaponipatia nauli na fedha ya kujikimu basi nakuja kukutembelea.

Hii ilibaki kuwa siri yangu baada ya miaka mitatu changamoto ya ajira ikaendelea, pasipo kujali upendo wangu kwako ukanipiga chini baada ya kupata wa kukuoa, miezi nane mbeleni ukafunga ndoa. Haukujali ahadi nyingi na nadhiri tulizoziweka mbele za MUNGU na pia mbele za wazazi.

Niliumia saaana siwezi kusahau, Dunia nzima ilinielemea, maisha yakawa machungu kama chloroquine... Lakn siku zikasogea. Ni mwaka wa nne huu Moyo umekufa ganzi, sijawahi kabisa kuwa na hisia za mapenzi teena, Huwa namwomba MUNGU anipe moyo wa kusamehe na kusahau ili moyo uwe na amani niweze kusonga mbele nashindwa kabisaa kusamehe na kusahau...

Nakuchukua sana na kamwe sitakusamehe we mwanamke kwa ulilonitendea
Mkuu unajitesa bure, wewe huku unamchukia, unakuwa na gubu, mwenzako hana habari kama kuna kitu kama hicho, hajui chcht, yafaa Nini, unajiumiza wewe badala yake, samehe, move on, penda
 
Naomba basi unisamehe, niliona mipango yetu haitekelezeki jamani, ila bado nakupenda hitaji langu lilikuwa ni kuolewa na kuishi maisha ya ndoa yanayompendeza Mungu.

Nakuombea na wewe umpate wa ubavu wako
 
Niliingia katika mahusiano na wewe mwanamke kipindi kile na graduate, nikakupenda kwa moyo wangu wote, pamoja na kuishi katika mikoa tofauti nikawa mwaminifu kwako sikuwahi kuchepuka hata kidogo, nilijitahidi kwa moyo wangu wote kwa kadiri kulingana na uwezo wangu kudumisha pendo langu, wakati mwingine niliwadanganya wazazi naenda kwenye interview (MUNGU anisamehe) wanaponipatia nauli na fedha ya kujikimu basi nakuja kukutembelea.

Hii ilibaki kuwa siri yangu baada ya miaka mitatu changamoto ya ajira ikaendelea, pasipo kujali upendo wangu kwako ukanipiga chini baada ya kupata wa kukuoa, miezi nane mbeleni ukafunga ndoa. Haukujali ahadi nyingi na nadhiri tulizoziweka mbele za MUNGU na pia mbele za wazazi.

Niliumia saaana siwezi kusahau, Dunia nzima ilinielemea, maisha yakawa machungu kama chloroquine... Lakn siku zikasogea. Ni mwaka wa nne huu Moyo umekufa ganzi, sijawahi kabisa kuwa na hisia za mapenzi teena, Huwa namwomba MUNGU anipe moyo wa kusamehe na kusahau ili moyo uwe na amani niweze kusonga mbele nashindwa kabisaa kusamehe na kusahau...

Nakuchukua sana na kamwe sitakusamehe we mwanamke kwa ulilonitendea
Pole sana, lakini kupenda gani huko mpaka miaka minne unaumia tu?
Wewe sio wa kwanza na hutakuwa wa mwisho, jifunze kupoteza vitu unavyo vipenda kwasabu maisha yana changamoto lukuki sana!!!!
Na usihamishe matatizo ya huyo kwenda kwa mwanamke mwingine
 
Hivi vitu kama huna uzoefu navyo utatabika sana!,mkuu ulisoma seminary?..
 
Bro watu wameachwa na watoto ni single fathers, single mothers wamewasahau sahivi wana wengine wanaowapenda zaidi. Wewe umeachwa ukiwa kijana tena mbichi unajilaani hivyi? relax some one atakufanya uone ulichelewa wapi kumfahamu achana na huyo shetani.
 
Pole sana kaka angu mapenzi yapo samehe na fanya kila njia taratibu umsahau hakika hutamkufuru Mungu bali utamshukuru kwa somo hilo
 
Sasa kijana unayemchukia anajua kuwa unamchukia? Maana kama hajui utakua unaumia Wewe mwenyewe tu na yeye akiendelea kula good time. Ameshazalishwa pengine, na Gari na Nyumba na mambo mengine! Acha kuiumiza nafsi yako Mungu amekuandalia mwenzio, jiongeze utamuona na utafurahi na kusahau adha za maisha.

Hakuna kitu kibaya maishani kama kuweka visasi, usitafute kazi au pesa ili ulipe kisasi, tafuta pesa ili uwasaidie wengine including huyo demu wako. That's life
 
Umeshapata kazi?

Una mpenzi mwingine??

Au bado upo upo tu.....

50 / 50. Si mwanao huyo.

Songa mbele, life goes on.
 
Niliingia katika mahusiano na wewe mwanamke kipindi kile na graduate, nikakupenda kwa moyo wangu wote, pamoja na kuishi katika mikoa tofauti nikawa mwaminifu kwako sikuwahi kuchepuka hata kidogo, nilijitahidi kwa moyo wangu wote kwa kadiri kulingana na uwezo wangu kudumisha pendo langu, wakati mwingine niliwadanganya wazazi naenda kwenye interview (MUNGU anisamehe) wanaponipatia nauli na fedha ya kujikimu basi nakuja kukutembelea.

Hii ilibaki kuwa siri yangu baada ya miaka mitatu changamoto ya ajira ikaendelea, pasipo kujali upendo wangu kwako ukanipiga chini baada ya kupata wa kukuoa, miezi nane mbeleni ukafunga ndoa. Haukujali ahadi nyingi na nadhiri tulizoziweka mbele za MUNGU na pia mbele za wazazi.

Niliumia saaana siwezi kusahau, Dunia nzima ilinielemea, maisha yakawa machungu kama chloroquine... Lakn siku zikasogea. Ni mwaka wa nne huu Moyo umekufa ganzi, sijawahi kabisa kuwa na hisia za mapenzi teena, Huwa namwomba MUNGU anipe moyo wa kusamehe na kusahau ili moyo uwe na amani niweze kusonga mbele nashindwa kabisaa kusamehe na kusahau...

Nakuchukua sana na kamwe sitakusamehe we mwanamke kwa ulilonitendea
Nimesoma ID yako, nikalinganisha na post yako, nineona vinakinzana sana..
 
Huwezi ku move on coz bado hujamsamehe...kuna watu wamevurugwa na mapenzi zaidi yako, walikung'uta mavumbi waka move on....mahusiano yana changamo zake pia usiyape nafasi yakuharibie maisha yako ya mbeleni...let it go..
 
Kwahiyo mkuu huna hisia kwasbb hakuna mademu wakali kuliko huyo x wako wa miaka 4 iliyopita au jazba tu? Kama hutaki kuoa basi anza kukwangua (kugegeda) tu. Vinginevyo uta-rum mental mkuu.

Mademu Walivyojazana Hv Ww Bado Unasikitikia Demu La Miaka 4 Iliyopita?
 
Katika hii dunia, wakupendwa ni Mungu tu, mwanadam ishia kumheshim tu!
 
255567-Let-It-Go....jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom