NItakua na shida gani? Naboreka Sana na mazingira nnayoishi kila nikihamia

NItakua na shida gani? Naboreka Sana na mazingira nnayoishi kila nikihamia

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,447
Reaction score
11,504
Nilikua naishi mazingira ambayo niliona kama hayana mambo mengi mazuri, Yani ikawa kama nmeyaishi Kwa Miaka mi3 nikayachoka nikatamani niishi sehemu nyingine yenye mazingira Fulani tofauti.

Nikajenga mahali pengine na hivi nimehamia hapa Nina kama week 3, lakini hapa Napo ñaona kama nmeshapachoka natamani tena nikapate sehemu nyingne yenye mazingira mengine nikajenge tena nikaishi huko, tena sasahivi natamani mkoani SIO dar, shida itakua nin?

Nmekua MTU wa kuhama sijawahi Kukaa kwenye nyumba zaidi ya Miaka mi3, iwe yangu niliyojenga au hata ambazo Miaka hiyo nilivyokua napanga.

Hii Nani ishawahi kumkuta.?
 
Safiri kidogo ita saidia, badilisha hobbies zako au ziboreshe.

Jaribu evening walk, kutembelea kumbi zenye muziki wa taratibu, kucheza karata au bao.
Hii ya kutembea tembea nafanya Sana sasahivi, ila sasa kutembea kumbi za starehe nmejaribu ila sasa ñaona naanza kupenda ulevi na SIO mambo yangu
 
Nilikua naishi mazingira ambayo niliona kama hayana mambo mengi mazuri, Yani ikawa kama nmeyaishi Kwa Miaka mi3 nikayachoka nikatamani niishi sehemu nyingine yenye mazingira Fulani tofauti.

Nikajenga mahali pengine na hivi nimehamia hapa Nina kama week 3, lakini hapa Napo ñaona kama nmeshapachoka natamani tena nikapate sehemu nyingne yenye mazingira mengine nikajenge tena nikaishi huko, tena sasahivi natamani mkoani SIO dar, shida itakua nin?

Nmekua MTU wa kuhama sijawahi Kukaa kwenye nyumba zaidi ya Miaka mi3, iwe yangu niliyojenga au hata ambazo Miaka hiyo nilivyokua napanga.

Hii Nani ishawahi kumkuta.?
Una hela nyingi ndiyo shida
 
Hii ya kutembea tembea nafanya Sana sasahivi, ila sasa kutembea kumbi za starehe nmejaribu ila sasa ñaona naanza kupenda ulevi na SIO mambo yangu
Mimi pia sio mpenzi wa kilevi chochote, wewe nenda pata supu, mishikaki au red bull.

NIli tengeneza maktaba ya vitabu nyumbani, nina play station ya game, na external zilizo na filamu au documentary.

Nasikiliza mziki Sana, naweza anza asubui hadi jioni iwe kwa earphone masikioni au kifaa cha mziki hii huni saidia kubadili moody.

weka huduma ya wi-fi nyumbani, vipindi vipo vingi sana vitakavyo kufanya ubadili mtazamo.
 
Mimi pia sio mpenzi wa kilevi chochote, wewe nenda pata supu, mishikaki au red bull.

NIli tengeneza maktaba ya vitabu nyumbani, nina play station ya game, na external zilizo na filamu au documentary.

Nasikiliza mziki Sana, naweza anza asubui hadi jioni iwe kwa earphone masikioni au kifaa cha mziki hii huni saidia kubadili moody.

weka huduma ya wi-fi nyumbani, vipindi vipo vingi sana vitakavyo kufanya ubadili mtazamo.
Sielewi, maana computer ninayo, simu MDA wote mbs zipo, TV ipo
 
Inatibika vp
Wewe ni mtu pekee unae weza kujitibu hilo, mtazamo wako chanya ndio msingi mkuu wa badiliko lako.

How you approach your environment kuanzia uki amka, Hadi uki rudi nyumbani kutoka katika shughuliki zako basi ita kusaidia.

anza siku yako kwa mazoezi, sikikiza nyimbo, kifungua kinywa cha tofauti, sikiliza hata vipindi kama podcast ya msasa by Elisha, salama na.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom