Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
What goes around comes around, hii ndio kanuni inayo endesha dunia, licha ya kuwa haipigi kelele. Tumesikia mauaji ya kutisha yanayofanyika kila siku sehemu mbalimbali CHADEMA wakusanyikapo. Kibaya zaidi amiri jeshi mkuu amekaa kimya, amefumba mdomo, macho, pua na masikio yake. Raisi hataki kufungua mdomo wake ili kuwakemea vijana wake, ambao yeye ni mwajiri wao mkuu.
Hataki macho yake yaone maovu na mauaji wayafanyayo vijana wake shupavu wa POLICCM.
Macho yake yamekuwa hayaoni damu inayomwagika. Tv zinaonyesha yeye haoni. Damu za Watanzania zinamwagika, zinatoa harufu kali ya damu, Kikwete pua zake hazinussi. Zimelevywa na harufu ya marashi ya Gucci. Wananchi wanaangamia, yeye kakaa kimya, labda yuko bize na kuomba appointment na masupastaa wa Marekani akapige nao picha..
Kwanini Kikwete hataki kumaliza tatizo hili la wimbi la mauaji yanayo fanywa na Polisi?Au ni yeye ndio anayewatuma?? Nitafurahi sana Kikwete akipandishwa kwenye mahakama ya kimataifa ya The Hague. Kikwete ni mkandamizaji wa demokrasia na ni mkiukaji wa haki za binaadamu.
Kikwete hatakiwi kuishi Magogono, sehemu pekee anapotakiwa kupelekwa akaishi ni kwenye gereza la mateso la Guantanamo Bay Cuba.
Hataki macho yake yaone maovu na mauaji wayafanyayo vijana wake shupavu wa POLICCM.
Macho yake yamekuwa hayaoni damu inayomwagika. Tv zinaonyesha yeye haoni. Damu za Watanzania zinamwagika, zinatoa harufu kali ya damu, Kikwete pua zake hazinussi. Zimelevywa na harufu ya marashi ya Gucci. Wananchi wanaangamia, yeye kakaa kimya, labda yuko bize na kuomba appointment na masupastaa wa Marekani akapige nao picha..
Kwanini Kikwete hataki kumaliza tatizo hili la wimbi la mauaji yanayo fanywa na Polisi?Au ni yeye ndio anayewatuma?? Nitafurahi sana Kikwete akipandishwa kwenye mahakama ya kimataifa ya The Hague. Kikwete ni mkandamizaji wa demokrasia na ni mkiukaji wa haki za binaadamu.
Kikwete hatakiwi kuishi Magogono, sehemu pekee anapotakiwa kupelekwa akaishi ni kwenye gereza la mateso la Guantanamo Bay Cuba.