nini maana ya jangili kwanza?
mbona MKAPA aliua watu Zanzibar na alipiga MAbom akina MREMA mpaka mtu akazawadiwa u IGP hamkusema MKAPA apelekwe The HAGUE??? au kwa KIKWETE ndio kosa la Jinai???
nini maana ya jangili kwanza?
umenena vyema, tatizo watu wanaongozwa na chuki mpk wanashindwa kuangalia
mambo pande zote, wana base upande mmoja.
Kikwete hatakiwi kuishi Magogono, sehemu pekee anapotakiwa kupelekwa akaishi ni kwenye gereza la mateso la Guantanamo Bay Cuba.
keep dreaming mate , hivi damu aliyomwaga mkapa kipindi kile mkawa mnaona poa tu! wasn't that bad ...? JK ni kiongozi mvumilivu sana kwa wapinzani hata jumiya za kimataifa zinafahamu hilo
[/
ni kweli 100%
😂 😂 😂 😂 😂 😂Kwa sasa una maoni gani?
Atuweke waz juu ya msimamo wake kwa sasa