begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,831
- 2,871
soma pharmacy hutojuta
What you want to archive?
Artecture?Nina 400k hapa Daslam. Njoo tuangalie tunafanyaje ili kuizalisha kiwango cha kuendesha maisha ya kila siku
Hata mimi huko University nilipita tena under artecture engineering, sasa hivi niko huku Kawe nafukunyua vifusi
Now trump kapiga marufuku hicho chuo kupokea wanafunzi wa kigeniNenda Harvard university mkuu
Dah we jamaa 😂😂 mbona sijawahi kufikiria kuwa nitapata Division 3 😂😂Tuliza wenge subiri matokeo yatoke . Usije tu ukashangaa umelamba div 3 ya 14
Nyie ndio mnaojinyonga , mtihani unavyuona na marking scheme inavyotaka huenda ni tofauti mwisho wa siku unaangukia pua.Dah we jamaa 😂😂 mbona sijawahi kufikiria kuwa nitapata Division 3 😂😂
Najua nilichokiandika siwezi pata Division 3 wala 2
Tatizo usipojua cha kusoma sasahivi maana yake utahangaika kwenye ku apply chuo siku matokeo yakitoka. Yani inabidi dirisha linapofunguliwa hapohapo ni apply course fulani chuo fulani mapema bila kuchelewa
That's why najiandaa sahiz nataka siku matokeo yakitoka niwe na final saying tayari
SawaNyie ndio mnaojinyonga , mtihani unavyuona na marking scheme inavyotaka huenda ni tofauti mwisho wa siku unaangukia pua.
Hata hao ambao matokeo yao wame differentiate constant walikuwa na tumaini kama lako.
Hata TCU guide book sidhani kama imetoka , wenge la nini sasa?
Maana course husika inategemea capacity wanayoitaka na ufaulu wa mwaka husika kulinganisha na wa kwako.
Upepo wa PesaWakuu mimi ni mkazi wa Lindi nimesoma PCM shule moja uboizini huko Mbeya na nimemaliza mtihani wa taifa siku chache tu zilizopita. Hapa bado nawaza niende JKT au nipumzike home hii miezi kadhaa
Kwa nilivyofanya mtihani najua nitapata Division 1 ya point 6 hadi 8.
Sasa kuna Jambo linanitatiza hususani kwenye hii era ambayo ajira hakuna. Naomba ushauri kwa JF Experts.
Vyuo ninavyotamani kusoma ni
UDSM na MUHAS napapenda ila nasikia cutting point zao ni kubwa Sana
- University of Dodoma
- Dar es Salaam Institute of Technology
- National Institute of Transport
- Dar es Salaam Maritime Institute
- Mbeya University of Science and Technology
- Muhimbili University of Health and Allied Sciences
Sasahivi walimu wetu wanatuambia kuwa Biomedical Engineering ina soko ila kama ukipata ufaulu chini ya Division 1 ya 5 hupati chance ya kusoma hiyo kozi
Kwa hiyo huwa nawaza sana nisome kozi ipi ambayo ina nafasi kubwa ya kupata ajira au kujiajiri at least ukilinganisha na kozi nyingine
Watu wengine wanasema Computer Engineering ina soko, hivi ni kweli wakuu au ndo tunaingizana cha kike?
Kozi nyingine ninazowaza ni
- Mechanical Engineering
- Automotive Engineering
- Electrical Engineering
- Chemical Engineering
- Mechatronics Engineering
- Telecommunications Engineering
Kweli napenda Engineering ila sijui hata ipi inahitajika kwa Bongo ipi haihitajiki. Nimesoma thread nyingine nyingi ila bado sijapata majibu. Kuna muda nawaza niachane na Engineering labda nisome Accounting and Finance au Agricultural Science pale SUA ila nahisi watu wa Accounting ni wengi sana. Ajira zitakuwa ngumu mbeleni (sijui ila ninahisi tu)
Au nisome "Mechanical Engineering" Halafu nikatafute kazi JWTZ maana walisema ni kozi adimu na inahitajika jeshini. Au sijui nisome Automotive Engineering kwenye magari au hata treni nione kama ina tija 🥲
Nikisikia na watu wa mtaani wanavyotutisha kuhusu maisha ya mtaani yalivyo magumu ndo nachanganyikiwa kabisa. Hizo habari zinafanya nakosea hadi raha. Au niende chuo nikasome kwa bidii sana nipate GPA kubwa nione kama naweza kuwa lecturer. Nawaza mengi ila bado Niko njia panda Sana.
Naombeni ushauri wakuu nikasome nini chuo. Kozi yoyote Ile nzuri yenye soko la ajira Tanzania hata kama ni ngumu fresh tu, kupiga msuli naweza maana nina hamu sana na ajira.
Naombeni mawazo yenu wakuu
Naam kaka iyo kawaida bro mie nina jamaa angu nimemzidi elimu ya darasani lakini ndie mtu anaenisapoti mishe zangu ko sote tunategemeana kaka katika maishaStarnd seven feliya tunasoma comment huku tunaendesha maisha kwa biashara ya nafaka
Sawa.DIT na NIT sio vyuo, ni taasisi.
Jeshi halitaniriki ukilitaka sana hulipatiAende Jkt hawa wa sayansi wenye ufaulu mkubwa huwa wanabaki, wanawasomesha wenyewe
JkT ingeangaliwa upya ikafumuliwa na kuweewa mazingira mazuri hata mtu asipobaki kule atoke na kituNilikuwa nawaza hivyo ila juzi niliona taarifa ya habari wanasema "VIJANA WALIOHITIMU JKT WAPEWA SOMO WAACHE KUTEGEMEA KUAJIRIWA JWTZ BADALA YAKE WAJITEGEMEE"
Hii habari ikanitisha kidogo kuwa huenda imekuwa kero huko JKT kila mtu anataka kubaki hadi JKT inaamua kuingilia kati kuwatoa matumaini hayo
OukSawa.