Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,392
- 15,205
Usimuamini yeyote katika Dunia hii
tena hao ndugu wa zamani walikuwa n busara sana, wasingekubali wao ndio uwaweke mbele badala ya mkeo. Ndugu anayeshabikia haya hana akiki kabisa.
nakubaliana na wewe 100%, lakini hoja mada kama izi za kumwona mke sio sehemu mwili wako mume na msaidizi wako, zinaibuka kwa kasi sababu ya yanayoendelea na tuyaonayo kwenye ndoa za siku izi.Ungeanza kwa kutoa sababu kwa nini tukusikilize wewe na sio Mwenyezi Mungu. Una hekima ipi kumzidi Mungu?
Kiwani nani alikudanganya mkeo ni ndugu yako? Kwa kuwa umerejea habari za maombi nani nitakujibu kwa maandiko:
Mathayo 19 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁵ ..... Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
Maandiko hayajawahi kesema mke ni ndugu, bali mke wako ni WEWE!! Ninyi ni mtu mmoja, hivyo upoamini ndugu kuluko mkeo ni sawa na kujichukia na kujidharau mwenyewe. Ka hiyo hao ndugu hawabadiliki? Unamdharau mwenza wako anayeitunza afya yako ili upate nguvu za kutafutaahizo mali? Unambeza mkeo ambaye huyo ndiye anayekuzaliwa watoto na kukutengenezea familia? Ni heri basi ungezaa na hao ndugu zako ujenge nao ukoo.
Badilika sasa, vinginevyo ndoa itakushinda. Acha kabosa akili mbovu ya kumuona mkeo ni adui, kwqni unalolitamani ndilo hilo hilo litakuwa sehemu ya maosha yako. Be a man, a true husband.
Mume na Mke ni zaidi ya damu. Ndoa ambayo ina baraka ya Mungu hufanya mume na mke kuwa mwili mmoja.. mke anakuwa ndani ya mume na mume anakuwa ndani ya mume.. Isipokuwa wengi hatuna elimu ya ndoa ya ndani kabisa.. kama ukiwa na elimu ya ndoa kwa kina chako.. hutoweza sema mke au mume sio ndugu yako.. mkisha kuwa mke na mume nyie ni zaidi ya ndugu..🤣🤣 Kwahiyo ngoma droo
Hakuna kuamini asiye damu yako
Kila munu Ave na kwao🤣🤣🤣
This is madini sana.Ungeanza kwa kutoa sababu kwa nini tukusikilize wewe na sio Mwenyezi Mungu. Una hekima ipi kumzidi Mungu?
Kiwani nani alikudanganya mkeo ni ndugu yako? Kwa kuwa umerejea habari za maombi nani nitakujibu kwa maandiko:
Mathayo 19 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁵ ..... Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
Maandiko hayajawahi kesema mke ni ndugu, bali mke wako ni WEWE!! Ninyi ni mtu mmoja, hivyo upoamini ndugu kuluko mkeo ni sawa na kujichukia na kujidharau mwenyewe. Ka hiyo hao ndugu hawabadiliki? Unamdharau mwenza wako anayeitunza afya yako ili upate nguvu za kutafutaahizo mali? Unambeza mkeo ambaye huyo ndiye anayekuzaliwa watoto na kukutengenezea familia? Ni heri basi ungezaa na hao ndugu zako ujenge nao ukoo.
Badilika sasa, vinginevyo ndoa itakushinda. Acha kabosa akili mbovu ya kumuona mkeo ni adui, kwqni unalolitamani ndilo hilo hilo litakuwa sehemu ya maosha yako. Be a man, a true husband.
Mume ataambatana na mke wake, pia mke ataambatana na mume wake.Wanaume nisikilize mimi, ukikutana na mwanamke mzuri muoe zaa nae watoto jenga familia pamoja naye.
Anaweza kuwa rafiki yako bora, msiri wako, mfanya biashara wako mshirika.
Na Unaweza kumuona kama mshirika wako wa karibu kwenye maombi pindi utakapomua kwani wanandoa huanza kufanana wakidumu pamoja.
Lakini usisahau nguvu iliyowaunganisha inaweza kuingia kutu kulingana na muda na kubadilika kwa moyo.
Mke wako sio ndugu yako wa damu na upendo wake unaweza kubadilika kuwa chuki ndani ya usiku mmoja.
Nisikilize mimi mpendwa kaka yangu, kwenye Wakati wa mahaba, kwenye kilele cha mafanikio yako, mkumbuke kaka yako aliesimama na wewe wakati haupo imara na umkumbuke dada yako aliekusafisha wakati ukiumwa sana.
Wakumbuke pia waliotumia muda wao kukuambia usitupe maji ya baridi kwenye mgongo wako, mikono yako na kukuandalia maji moto yaliyoilea ngozi yako.
Usiwafungie milango watoto wanapokuja mbele ya uzio wako wakiwa na miguu yenye vumbi na nguo zilizochanika wakitaka msaada wako.
Usizibe pua yako ikiwa wananuka harufu mbaya, usizibe masikio yako ili usisikie matumbo yao yakiunguruma kutokana na kukosa shibe.
Wakaribishe kwa mikono mikunjufu fungua milango yako waite wale juu ya meza yako na watendee kadri ungependa utendewe.
Yajayo ni kama upepo yanaweza kuwa hayatabiriki kabisa unaweza ukajikuta upo kama ayubu wa kwenye biblia ukiwa mtupu mwenyewe kwenye kisiwa cha matatizo.
Dada yako aliyekuokota ukiwa unaumwa hujiwezi Kama mtoto asiye na matumaini atakutafuta akusaidie tena.
Ndugu yako katakushika mkono katika mapito yako yote kwakuwa nguvu iliyowaunganisha kwenye damu itazongwa na upepo lakini kamwe haiwezi kutenganishwa.
Peter Mwaihola
Elvinah Obuya, The Standard Kenya.
View attachment 2724940
Victims wa ndoa za hovyo ni jinsia zote mbili.MWANAMKE: MUME WAKO SIO NDUGU YAKO, Usiache kuwa karibu na nduguzo wa damu eti kisa umeolewa, kaka na dada zako ndio watakua na wewe kipindi utakapotelekezwa na huyo unayemuita mumeo.
Kwa hawa wanawake wa Instagram, labda uwe na hela nyingi sana mkuu.ukizeeka ukiwa hoi kitandani, mkeo ndiyo atakutawazisha na kusafisha matapishi yako
Pamoja na yote hayo lkn ukweli unabaki kuwa sio ndugu yako...ukizeeka ukiwa hoi kitandani, mkeo ndiyo atakutawazisha na kusafisha matapishi yako
Undugu upo kwenye DNA. Huo haufutiki. Urafiki unafutika. Mke ni rafiki tu.Walikuwaga ndugu wa zamani sio hawa wa leo wanaotamani wote tuwe masikini nikipata basi visirani uanza .
Nitampenda nitamjali nitamthamini nitamuamini nitakayemuweka ndani ila sio ndugu hivyo itoshe kusema niko tayari kusalitiwa na kutengwa na mtoto wa mama mkwe ila sio ndugu sababu hawanipi changamoto za kusonga mbele ila wivu majungu na unafiki tu .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
undugu si kufanana, bali kufaana kwa matendoPamoja na yote hayo lkn ukweli unabaki kuwa sio ndugu yako...
Maisha hayana kanuni kwa hiyo itategemea na wanandoa au wanafamilia, wapo ambao wenzi wao ndo waliowatoa kwenye utumwa wa fikra na uchumi toka kwa ndugu zao na kuwafanya wajiamini na kujiyegemea na mwisho na hivyo kuwa na uchumi na maamuzi binafsi kwake mke ni kila kitu. Wapo ndugu lawama wao hawaoni jema kulalamika na kutaka kukushikia chini wamejaa chuki wao hawatataka ufanikiwe watataka uwe wa kuwasujudu na kuwatumia ,lakini mke mara zote anapambana bega kwa bega ili mfanikiwe na muwe na familia bora.Wanaume nisikilize mimi, ukikutana na mwanamke mzuri muoe zaa nae watoto jenga familia pamoja naye.
Anaweza kuwa rafiki yako bora, msiri wako, mfanya biashara wako mshirika.
Na Unaweza kumuona kama mshirika wako wa karibu kwenye maombi pindi utakapomua kwani wanandoa huanza kufanana wakidumu pamoja.
Lakini usisahau nguvu iliyowaunganisha inaweza kuingia kutu kulingana na muda na kubadilika kwa moyo.
Mke wako sio ndugu yako wa damu na upendo wake unaweza kubadilika kuwa chuki ndani ya usiku mmoja.
Nisikilize mimi mpendwa kaka yangu, kwenye Wakati wa mahaba, kwenye kilele cha mafanikio yako, mkumbuke kaka yako aliesimama na wewe wakati haupo imara na umkumbuke dada yako aliekusafisha wakati ukiumwa sana.
Wakumbuke pia waliotumia muda wao kukuambia usitupe maji ya baridi kwenye mgongo wako, mikono yako na kukuandalia maji moto yaliyoilea ngozi yako.
Usiwafungie milango watoto wanapokuja mbele ya uzio wako wakiwa na miguu yenye vumbi na nguo zilizochanika wakitaka msaada wako.
Usizibe pua yako ikiwa wananuka harufu mbaya, usizibe masikio yako ili usisikie matumbo yao yakiunguruma kutokana na kukosa shibe.
Wakaribishe kwa mikono mikunjufu fungua milango yako waite wale juu ya meza yako na watendee kadri ungependa utendewe.
Yajayo ni kama upepo yanaweza kuwa hayatabiriki kabisa unaweza ukajikuta upo kama ayubu wa kwenye biblia ukiwa mtupu mwenyewe kwenye kisiwa cha matatizo.
Dada yako aliyekuokota ukiwa unaumwa hujiwezi Kama mtoto asiye na matumaini atakutafuta akusaidie tena.
Ndugu yako katakushika mkono katika mapito yako yote kwakuwa nguvu iliyowaunganisha kwenye damu itazongwa na upepo lakini kamwe haiwezi kutenganishwa.
Peter Mwaihola
Elvinah Obuya, The Standard Kenya.View attachment 2724940
Wanaume nisikilize mimi, ukikutana na mwanamke mzuri muoe zaa nae watoto jenga familia pamoja naye.
Anaweza kuwa rafiki yako bora, msiri wako, mfanya biashara wako mshirika.
.
View attachment 2724940
Kwanini yeye (mkeo) hao sio watoto wake??Wakati Ndugu zako wakiwatelekeza Watoto wako. Mkeo ndiye