nshapigwa za uso huko,hivi mwenzio nina konkasheni.
nshapigwa za uso huko,hivi mwenzio nina konkasheni.
we inabidi nikufungulie RB kwa mama nannhii.
nitts hajambo?
Bishanga na mimi leo nimejifaragua nikafungua uzi jukwaa la siasa title.........'watanzania wenzangu '.....nimejikakamua kweli nyie acheni tu.
Asee wewe Bishanga Biakabutuka wa Abashaija kuanzia leo usinihusishe na changudoa mimi. Sawa?
Nimebondwa huko naambiwa na SIMplicity eti niwapishe niende mmu jukwaa la ngono,nimechoka kabisa.