Nishaurini jamani, nikitongoza sikosi!

Nishaurini jamani, nikitongoza sikosi!

Status
Not open for further replies.
Pasco hilo ni Pepo. did u ever thought about that?
Ukwee, ni kweli hilo ni pepo la ngono!, pepo ni spirit, kuna good spirits na bad spirits, good spirits zinakuamuru kutenda yaliyo mema na bad spirits zinakushawishi kutenda maovu!. Spirts zote mbili ziko ndani yetu!, hizo ndizo ninazoziita "powers from within!", "will powers" za kufanya kila kitu!. Watu wote tunazo ila wengine hawajui kuwa tunazo!.
Pasco
 
binadamu wengi jinsi walivyo wakizidisha sana uwezo wa kitu fulani basi anatengeneza upungufu mkubwa upande mwingine,kuwa kwako mahiri sana ktk kuwapata wadada upande wa pili uwezo wako wa kuwa-maintain utakuwa chini sana.....n hilo utakuja kuliona ukianza serious relationship mpaka ndoa.....YOU WILL BE THE BORING KING IN YOUR MARRIAGE......thats the rule....80/20!

Aiiiiiisssseeeeeeeh.
 
Sasa kama unatongozea Buguruni au Corner bar huku pochi limejaa unategemea utawakosa?
 
Ukipata ukimwi pia uje utuambie!!! :flypig:
 
sasa mpaka hapo umeshaona kuwa una tatizo...dawa ya ishu yako hiyo ni KUACHA....tongoza tena mwingine ambaye labda utampenda kwa dhati na utulie naye...pia acha KUJICHEKESHACHEKESHA na KUJISHEMBENDUA mbele ya wadada km unavyodai kuwa unaweza kutongoza bila wewe mwenyewe kujua....ACHA, TULIA, UTAKUFA NA UKIMWI.....
 
Nipe namba yako ya simu na list yauliowala kuna ndugu yangu anabiashara ya majeneza nikuwekee oda kabisa.
Maana naona unafurahia
 
sasa sijui usaidiwaje, wengine hata kidogo hawawezi.....
 
binadamu wengi jinsi walivyo wakizidisha sana uwezo wa kitu fulani basi anatengeneza upungufu mkubwa upande mwingine,kuwa kwako mahiri sana ktk kuwapata wadada upande wa pili uwezo wako wa kuwa-maintain utakuwa chini sana.....n hilo utakuja kuliona ukianza serious relationship mpaka ndoa.....YOU WILL BE THE BORING KING IN YOUR MARRIAGE......thats the rule....80/20!


Well said mkuu.
 
Hebu ni shauri kwanza mimi kwani kila dili la fedha nikilipanga ninafanikiwa na kupata mihela kibao, na kila nikilima shamba mazao yanastawi sana bwana masopakyindi ninaomba ushauri kwako tu (sio wana jf wengine) nifanyeje niepukane na tatizo hili?
At least hilo si tatizo , ni mafanikio
Langu nalichukulia kuwa tatizo na silipendi sana.
Tuache utani.
 
Mkuu Maso, hilo sio tatizo, hizo ni nguvu zilizo ndani yako zinaitwa "psychic powers", nenda kanisome hapa, sychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...


Hebu nitazame mimi mwenzio enzi hizo..

Hivyo matumizi ya nguvu hizi kwa kutongozea tuu ni abuse of powers, shift concentration, zitumie kufanyia mambo makubwa zaidi!, wish kupata kazi nzuri, kulipwa top salary, kujenga bonge la nyumba, kuoa bonge la demu, kuendesha bonge la gari, kuishi top life!, kufanya mambo makubwa kusaidia jamii etc!.
Pasco.
[/COLOR]
Ushauri mzuri mkuu.
Watu humu wanafanya utani, wanafikiri haya matatizo hayapo duniani.
 
Ndugu nataka kukushauri tofauti na wengine, Mimi siliiti hilo kuwa ni tatizo, kama ulivyo sema kuwa unauwezo wa hali ya juu katika ushawishi ( convincing power). Shida ni kuwa unatumia uwezo ulionao katika njia isiyo sahihi. Kwa mfano jaribu kutumia uwezo huo katika biashara kwa kufanya marketing bidhaa fulani, au ni bora ukamtumikia Mungu kisha kutumia nguvu hiyo ya kushawishi ili kuvuta watu wengi kwa Mungu.
Asante mkuu kwa ushauri mzuri.
Ajabu ni kwamba vyote hivyo nimefanya , tena kwa mafanikio mazuri tu.
Kama ni kusali nasali sana.

Pengine nijaribu huo ushauri wa kublock thoughts za mademu, ila kumbuka tatizo langu la nyumbani kama nilivyoelezea.
 
usijone una bahati ndugu kwa kukubaliwa na kila unayemtongoza kwa navojua kukataliwa na mwanamke sio common thing endapo ww umeinvest nguvu zako kwenye upuuzi huo tena ushasema mfuko uko vzur hii inaonyesha ni vp unathamini uchi. you have nothing special to them ila tu ww ni mtumwa wa ngono na hlo latkuharbia na kukufungia milango mbinguni na dunian. UMENIUZ MKUU
 
Pole sana, bado hujajitambua, kulala na wanawake wengi siyo big deal isipokuwa you are cheap man....na baadaye itakusumbua sana ktk ndoa, achana na hiyo tabia ina madhara makubwa ambayo siwezi hata kuyataja, achana na ya ukimwi.
 
huwa unatumia kinga wakati unatongoza?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom