Nishaurini jamani, nikitongoza sikosi!

Nishaurini jamani, nikitongoza sikosi!

Status
Not open for further replies.
binadamu wengi jinsi walivyo wakizidisha sana uwezo wa kitu fulani basi anatengeneza upungufu mkubwa upande mwingine,kuwa kwako mahiri sana ktk kuwapata wadada upande wa pili uwezo wako wa kuwa-maintain utakuwa chini sana.....n hilo utakuja kuliona ukianza serious relationship mpaka ndoa.....YOU WILL BE THE BORING KING IN YOUR MARRIAGE......thats the rule....80/20!
Pengine wewe mkuu ndo una analysis nzuri kuliko wote.
Hili si tatizo langu tu , wapo wengi, its a psychological problem.

Chanzo chake ni mke wangu, ni mzuri sana kupindukia.
Tatizo lilianza nilipogundua kuna jamaa ana kula kisiri.

Baada ya valangati ku cool sikumfukuza mke wangu, ila hili tatizo ndo liaanza kujitokeza.

Jamani tuwe wakweli nafsini mwetu tatizo hili lipo.
 
We unatakaje sasa? Ukitongoza ukataliwe?, kama hutaki wanawake usiwatongoze.

If you dont want the genie to come out dont rub the lamp.
 
Jamaa kwa kutongoza mademu yule......teh teh teh teh sifa za kijinga
 
Kwanza pole,pili nikupe moyo kwamba matumaini yapo kwani chanzo cha tatizo lako unakijua na pia una nia ya kubadilika.

Ushauri uliopewa wa kuombewa ama kulikabidhi tatizo lako kwa Mungu ni wa kuzingatia.
 
Jitongoze, kama ukijipata ntaamini wew noma

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Hebu ni shauri kwanza mimi kwani kila dili la fedha nikilipanga ninafanikiwa na kupata mihela kibao, na kila nikilima shamba mazao yanastawi sana bwana masopakyindi ninaomba ushauri kwako tu (sio wana jf wengine) nifanyeje niepukane na tatizo hili?
 
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!

Nina uwezo wa kutongoza kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata tusishia sita kwa sita.

Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.
Mkuu Maso, hilo sio tatizo, hizo ni nguvu zilizo ndani yako zinaitwa "psychic powers", nenda kanisome hapa, [h=3]sychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...[/h]
Hebu nitazame mimi mwenzio enzi hizo..
mimi nina
Telepathy - Transfer of thoughts or emotions, kwa kiasi kidogo!. Zamani nikiwa kijana mdogo nikisoma sekendari ya Tambaza na baadae Ilboru, ilitokea kuna vibinti fulani vya Kisutu na Jangwani, nilivitazama kwa kuvihitaji tuu, nikaja kuvipata!.

Ikawa nikienda kwenye party, nikimzimikia tuu binti, nikimtazama kwa concentration huku nikisema kimoyo moyo, nakuhitaji!, yule binti, atageuka na macho yakigona tuu, nitatoka nje, atanifuata!, tutazunguka tuu mahali popote penye faragha!, nitamaliza shida zangu na kurudi kwenye party!.

Nilipomaliza na kujiunga JKT, kule ikawa balaa!, kila macho yanapoona, moyo ukipenda, napita na sikosi!.
Nilipoanza kazi, nikajikuwa huwa nakuwa MC, nikawa nikienda kwenye sherehe mbalimbali, naondoka na mtu!. Hata nikiwa kwenye Daladala, nikizimika mahali, natazama tuu, nikishuka naye anashuka!.

Matumizi ya nguvu hizi yalikuwa ni kwa "kata funua tuu!, mpaka nilipokutana na dada mmoja aliyekuakisoma Jangwani, ndipo akanieleza kuhusu uwezo huo, na ninachokifanya ni abuse of power! akanionya nikiendelea hivyo matokeo yake yatakuwa nini, ndipo nikabadilika!.
Pasco.


Hivyo matumizi ya nguvu hizi kwa kutongozea tuu ni abuse of powers, shift concentration, zitumie kufanyia mambo makubwa zaidi!, wish kupata kazi nzuri, kulipwa top salary, kujenga bonge la nyumba, kuoa bonge la demu, kuendesha bonge la gari, kuishi top life!, kufanya mambo makubwa kusaidia jamii etc!.
Pasco.
 
Nimejifunza kitu kimoja...!!!
Usifanye utani na hisia za mwanamke, usijaribu hata siku moja... baadhi yao wapo lonely sana, ukijaribu tu haichukui sekunde, baadhi yao ni maplayer, ukigusa tu hata huulizwi, baadhi yao wapo after marriage, ukisema tu utamuoa, utaitwa hubby!!!!!

Usifanye huo mchezo, nakwambia tena acha kutongoza ovyo, hata ku flirt wengine hawajui....
 
Kaa bila kutongoza uone kama utapungukiwa na kitu.
 
Ngoja utongoze jini la kike huo mgegedo wako usagwe na k.....ya jini km mua ktk mashine ya kukamulia juisi ya muwa
 
Mkuu Maso, hilo sio tatizo, hizo ni nguvu zilizo ndani yako zinaitwa "psychic powers", nenda kanisome hapa, [h=3]sychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila ...[/h]
Hebu nitazame mimi mwenzio enzi hizo..

Hivyo matumizi ya nguvu hizi kwa kutongozea tuu ni abuse of powers, shift concentration, zitumie kufanyia mambo makubwa zaidi!, wish kupata kazi nzuri, kulipwa top salary, kujenga bonge la nyumba, kuoa bonge la demu, kuendesha bonge la gari, kuishi top life!, kufanya mambo makubwa kusaidia jamii etc!.
Pasco.
[/COLOR]

Pasco hilo ni Pepo. did u ever thought about that?
 
Last edited by a moderator:
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!

Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.

Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.

Dah..! ya leo kali masopakyindi, au wanazimika na hilo jicho na maskio..!? (just joking)
 
Last edited by a moderator:
Ndugu nataka kukushauri tofauti na wengine, Mimi siliiti hilo kuwa ni tatizo, kama ulivyo sema kuwa unauwezo wa hali ya juu katika ushawishi ( convincing power). Shida ni kuwa unatumia uwezo ulionao katika njia isiyo sahihi. Kwa mfano jaribu kutumia uwezo huo katika biashara kwa kufanya marketing bidhaa fulani, au ni bora ukamtumikia Mungu kisha kutumia nguvu hiyo ya kushawishi ili kuvuta watu wengi kwa Mungu.
 
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!

Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.

Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.

wanawake siku hizi ni so easy.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom