Nishabikie team gani?

Nishabikie team gani?

reg edit

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
403
Reaction score
504
Habari wana jamvi!

Katika pita pita humu ndani nimekutana na team mbili #teammabazazi na #teamwekapicha , kama zipo nyingine nifahamishwe plz!! nataka nishabikie/nijiunge na moja wapo kati ya hizo.

Unanishauri nijiunge ipi? Na Je wewe ungependa ujiunge ipi?

Noway 2 days to go!

Tena furahiday nigh? patachimbika?sijui utamtoa nani OUT umuache nani?
 
Hizo timu zipo mkoa gani?

Ni za mchezo gani?

Vinatumia uwanja gani?

Kocha wake nani?
 
18years and above....
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    15.6 KB · Views: 310
Mm wale wa Weka picha wananiacha hoi sana ila kwny uhalisia TEAMBAZAZI sijajua harakati zao kwa umu ndani ila kwa uku mtaani ndo wanainchi wenzangu.
 
Last edited by a moderator:
nakushauri usishabikie timu yoyote hapo zote zimeoza na zinanuka uvundo mtupu hasa hiyo ya TEAMmabazazi ndo mbovu kabisa imemchukua m wangu na kumbambikizia hapo
Habari wana jamvi!

Katika pita pita humu ndani nimekutana na team mbili #teammabazazi na #teamwekapicha , kama zipo nyingine nifahamishwe plz!! nataka nishabikie/nijiunge na moja wapo kati ya hizo.

Unanishauri nijiunge ipi? Na Je wewe ungependa ujiunge ipi?

Noway 2 days to go!

Tena furahiday nigh? patachimbika?sijui utamtoa nani OUT umuache nani?
 
Last edited by a moderator:
Hizo timu zipo mkoa gani?

Ni za mchezo gani?

Vinatumia uwanja gani?

Kocha wake nani?

Nasikia na wewe ni mmojawapo kwenye moja ya hizo timu, labda utuambie kocha wenu ni nani teh teh
 
Back
Top Bottom