Nisameheni

hili linabidi lifanyiwe kazi haraka mapato yasizidi kupotea bure lol
 
hahaha..mkuu BAK mi nimeibuka na kifaa kipya kabisa hiki mkulu!

Kama ndiyo hivyo Hongera sana Mkuu 🙂 Tunza mali zako si umeshasikia njembas zinavyommiminia miPM hivyo ukae chonjo Mkuu saa mbaya hahahahahahah
 
Kama ndiyo hivyo Hongera sana Mkuu 🙂 Tunza mali zako si umeshasikia njembas zinavyommiminia miPM hivyo ukae chonjo Mkuu saa mbaya hahahahahahah


actuale nina moderate PM zake....kwa sheria za JF huwezi sema eti una PWD yake lakini ndo ivo LOL....
 
actuale nina moderate PM zake....kwa sheria za JF huwezi sema eti una PWD yake lakini ndo ivo LOL....


Haya Mkuu lakini hii hapa chini lazima ikuweke roho juu juu. Mjini hapa huwezi kujua hahahahaha Kwa maneno mengine pamoja na moderation yako bado nyingi tu ziliweza kumfikia. Chunga Kaizer Chunga! 🙂

nimeibadili sababu PMs zilizokuwa zikimiminika kama mvua ya masika zilikuwa zinanikosesha pumzi na hata niliposema nina mchumba haikusaidia,hivyo natumai mabadiliko haya ya avatar yatapunguza wingi wa PMs kama sio kuzimaliza kabisa.
 

mkulu wala usijali maji ya moto hayachomi nyumba!
 
nitatafuta nyingine nzuri,ucjali,najua unaipenda lkn kubali matokea!

Hata hii ya sasa mie naipenda sana manake inaonyesha kuwa umejaliwa mgongo, si mchezo! Si unajua tena tuyapendayo yanatuonyesha tulivyo? Hongera sana
 
Mbona kila avator yako inaonyesha mkunyenye uliojazia?
Weka basi sura ya tembo.
 
Cheusi ile ya pete ya uchumba uliweka juzi ndo ingekunusuru labda......(japo naskia pete nazo ndo kivutio)
 
Cheusi ile ya pete ya uchumba uliweka juzi ndo ingekunusuru labda......(japo naskia pete nazo ndo kivutio)

LOL B umesoma kiarabu, hebu chungulia ni(tu)livyomsihi airudishe hii!😀
 
Cheusi ile ya pete ya uchumba uliweka juzi ndo ingekunusuru labda......(japo naskia pete nazo ndo kivutio)
Umeisikia wapi hii?
samahani kama nitakuwa nimewakwaza wenye pete
 
Umeisikia wapi hii?
samahani kama nitakuwa nimewakwaza wenye pete

humu humu ndani, wewe hukuiona ile thread ya 'kwanini wajivalishe pete za uchumba na ndoa?'
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…