Nisamehe waitress

Nisamehe waitress

Ukute ukimsemea kwa meneja hapo anakatwa hela ya hiyo soda kwenye mshahara.

Mshahara wenyewe hata nusu ya kima cha chini haujafika.

Halafu kazi kababatizwa bila mafunzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dada kakosea ila wewe umekosea zaidi na umejifedhehesha.

jitathimini lazima utakuwa na msongo wa mawazo.
 
Huwa nayasikiliza matusi, kejeli, kashfa mnazokumbana nazo wanawake! Nabaki kusikitika tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom