Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,788
- 11,146
Ahahahah...aisee.
Umenikumbusha mwezi august nilikua mwanza.Nimemaliza kazi pale rock city mall (tulikua tunafunga security system pale za milangoni) nikajongea kuna bar na mgahwa pale kwa nyuma kidogo (njia kama unaenda airport) inaitwa DIAMOND nn sijui nikale msosi na ku chek game ilikua simba na nan sijui.
Basi nimeagiza ugali na samaki.Nataka mkia waiter kaniwekea kichwa ..halaf kashaweka na ma mbwembwe mengi kias kwamba huwez kumrudisha tena jikon.
Nika mind kinoma sema nikamuonea huruma yule bint nikigomea chakula hataweza kukilipa kwa bosi.Ikabid nile hivyo hivyo ila nili mindi sanaa nikawa nakula huku naongea ahahahahha.
NILIKUJA CHOKA baada ya muda yule sister kuja pale na kunambia " najua nimekukera sana, ila nisamehe,kama vp chukua namba yangu nije nikubembeleze baadae"
Ptuuuuu...hasira zikakata ghafla na njaa ikaisha..nikalipa nikaondoka.Maana nikaona hil balaa sasa.
NB.
hata namba sikuchukua.
Ahahahahahahahahah
Umenikumbusha mwezi august nilikua mwanza.Nimemaliza kazi pale rock city mall (tulikua tunafunga security system pale za milangoni) nikajongea kuna bar na mgahwa pale kwa nyuma kidogo (njia kama unaenda airport) inaitwa DIAMOND nn sijui nikale msosi na ku chek game ilikua simba na nan sijui.
Basi nimeagiza ugali na samaki.Nataka mkia waiter kaniwekea kichwa ..halaf kashaweka na ma mbwembwe mengi kias kwamba huwez kumrudisha tena jikon.
Nika mind kinoma sema nikamuonea huruma yule bint nikigomea chakula hataweza kukilipa kwa bosi.Ikabid nile hivyo hivyo ila nili mindi sanaa nikawa nakula huku naongea ahahahahha.
NILIKUJA CHOKA baada ya muda yule sister kuja pale na kunambia " najua nimekukera sana, ila nisamehe,kama vp chukua namba yangu nije nikubembeleze baadae"
Ptuuuuu...hasira zikakata ghafla na njaa ikaisha..nikalipa nikaondoka.Maana nikaona hil balaa sasa.
NB.
hata namba sikuchukua.
Ahahahahahahahahah
