Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

akina The Boss Mnaolalamika hii thread kuwa sticky.. changia jf mikono mitupu halilambwi
 
Last edited by a moderator:
Wadada wote walio ku pm kuniulizia waambie mi nilichangia milioni 20..please its important lol

Hahahahahah kwani wewe ndio @ Lamborghini?

JAMANIIII!!! Eeeee theboss alinipa 20mil I hope jibu wamelipata hapa hapa
 
Last edited by a moderator:
Thread kama hii itafanya wale wa free p washtakiwe mahakamani...milioni kumi ya charity?halafu ndo mtongozo? Cc lara 1

mkuu ni kwa aajili ya watoto yatima japo moyo ulivutiwa nae nilivyomuona
 
Last edited by a moderator:
team samehe Lambigin at wek

i
Napenda kutoa angalizo nimeongea
na msweet wangu nashukuru safari hii ametulia kwenye simu kutokana kuwa Yuko job tutamaliza maongezi yetu kwenye Skype usiku
 
jf:where amazing happens..
Join Date : 30th May 2014
Du nikweli kabisa aani humu kuna vi-Story vya ajabu ajabu
Nchi za watu, ngozi nyeusi unatukanwa CHIPANZEE /GORILA ntu wa watu bado unakenua
mwenzako anawacharaza makofi ya USO huulizi sababu

Lamborghini hebu malizia ni tusi gani hadi Bibie apigane maana inaelekea lilitokana au kusababishwa na wewe kufananishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…