Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

Mshamba tuu wee..uliona ufahar kumwacha stand
Bila shaka ni wewe..

Please nisamehe ANNA ingawa unajiita humu Mamumunya2015.

Nashukuru nimekujua ila nimemisi bwawa lako.. Anna( Mamumunya2015)
 
Ushauri mzuri Heaven Sent,ndiyo maana nakupenda sana.

Tafuta comment ya MSHANA JR.

Nilichokiandika pale ndiyo utajua kati ya Mimi na ANNA nania alikuwa muuaji.
Tuliza ball dogo...

Nani kakuruhusu kumpenda geniveros wangu??

She is mine, and only mine.

You have been warned!!
 
Niko vizuri kiongozi... kama vipi ongea nami nikuazime atoto kwa muda...

Kanafaa kulumangia
Hahahahah

Umelenga penyewe mkuu. Maana yupo kwenye target zangu.

Itakuwa murua sana.

Popote ulipo Atoto unaombwa usogee hapa.
 
Mbona Mimi enzi zangu nshatapeliwa Sana? Sijawahi kulipiza kisasi hata siku moja! Umeenda Mpaka hotelini uko nae na Mlikua mmeshaongea about a week or so na hio promise katoa yeye mwenyewe, mnafika mnachukua na kulipia room, mnaingia mnafika, unAjiandaa, unaanza utundu wako. Ghafla mwenzio anabadilika kama vile haelewi. Unabembeleza weee Matokeo yake unakua una buy time mtoke ili usionekane hujapewa. Si unajua kujishuku? Ukianza kuvaa nguo ili muagane anakujulisha kuwa hana nauli! Halafu kuna ile Pesa aliyokuomba kuna "vitu " anataka akanunuae! Dah, kiunyonge Sana unampa anakwambia haitoshi! Unajizuia usipandwe hasira, una mpa kisha hasemi hata asante. Mnavyotoka anakuomba ukamuache kituoni, unampakia, kwenye gari hamuongei, anakuuliza,. Mbona umenuna? Anakuomba msamaha kisha anaku promise next time!! Hahaahhaha unajiuliza, huyu mtu ni binadamu au jini? Ila huwa hatulipizi visasi, hio ndio maturity ya kiume na Law ya Hunter, amekosa leo, atapata kesho. No extra fighting,
Daaah! Sijui Kwanini umenikumbusha hii, mpaka machozi nilitoa na kuapa kutomtafuta lakini baada ya siku 2 nikarudisha majeshi na baada ya hapo ********
 
Daaah! Sijui Kwanini umenikumbusha hii, mpaka machozi nilitoa na kuapa kutomtafuta lakini baada ya siku 2 nikarudisha majeshi na baada ya hapo ********
Pole sana
 
Back
Top Bottom