Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

bora hatumeona mkuu nimekaa nikawaza alivyokuwa anajiandaa kuileta huko akaisafisha vizuri toa na vile vimajani dah .. ha hah ahaha ila basi tena


Ila nilikuwa nishaizoea sana mamii.
 
Wewe Wacha kuwashusha hadhi wanaume, hawanaga tabia kama uliyoandika hapo juu.

Ndege wafananao huruka pamoja, unafata nini kwa hivyo vimalaya kama na wewe siye malaya mwenzao.
Hahahah.

Umepanic Angelita!!

Pole.
 
Dawa ya jeuri, kiburi.
Safi sana kwa kumnyoosha huyo binti.
Mkuu nawanyoosha kweli sina utani wa kubembeleza mwanamke.

Huo ukatili wamenifundisha wao Mkuu nakumbuka kipindi nikiwa second year niliwahi kumpeleka mchuchu mmoja hivi mwenge akafanya shopping moja hatari ila cha ajabu after two Weeks akinipiga kibuti kisa naenda club bila kumuaga au kwenda nae.

Niliumwa ghafla kila nilipokuwa nakumbuka mtonyo wangu Mkuu.

Tangia hapo ni kuwanyoosha tu Mkuu.
 
Hebu fikiria mtu ametoka dar mpaka moro kwa sababu yako,na kabla ya yote nadhan alikueleza hatakua na nauli ya kurudi dar ila ww kwa uchu wako wa kisefenge ukamwambia usohofu,bahati nzuri binti wa watu ana misimamo yake amekuta umemsave jina la ajabu ajabu anataka ajue ni kwanin umemsave hivyo akitegemea ww ni my husband wake to be ww unazira,okay amesimamia msimamo wake hakupi papuchi na anataka arudi dar hana nauli ,ukiwa kama mwanaumme aliekamilika ulitakiwa umpatie nauli aondoke matokeo yake umeenda kumtelekeza stand halafu leo unakuja kueleza upumbavu wako hapa,huna hata aibu mshenzi ww
 
Mkuu nawanyoosha kweli sina utani wa kubembeleza mwanamke.

Huo ukatili wamenifundisha wao Mkuu nakumbuka kipindi nikiwa second year niliwahi kumpeleka mchuchu mmoja hivi mwenge akafanya shopping moja hatari ila cha ajabu after two Weeks akinipiga kibuti kisa naenda club bila kumuaga au kwenda nae.

Niliumwa ghafla kila nilipokuwa nakumbuka mtonyo wangu Mkuu.

Tangia hapo ni kuwanyoosha tu Mkuu.
Safi sana, hawa viumbe ukiwachekea wanakuua huku unaangalia.

Yani mependa sana style yako.
 
Hebu fikiria mtu ametoka dar mpaka moro kwa sababu yako,na kabla ya yote nadhan alikueleza hatakua na nauli ya kurudi dar ila ww kwa uchu wako wa kisefenge ukamwambia usohofu,bahati nzuri binti wa watu ana misimamo yake amekuta umemsave jina la ajabu ajabu anataka ajue ni kwanin umemsave hivyo akitegemea ww ni my husband wake to be ww unazira,okay amesimamia msimamo wake hakupi papuchi na anataka arudi dar hana nauli ,ukiwa kama mwanaumme aliekamilika ulitakiwa umpatie nauli aondoke matokeo yake umeenda kumtelekeza stand halafu leo unakuja kueleza upumbavu wako hapa,huna hata aibu mshenzi ww
Thanks Mkuu.

Kwa matusi yako ila sio ujanja wala nini

Sikutukani ila nitakuonesha ni jinsi gani nimekomaa kiakili.
 
Back
Top Bottom